Chemsha bongo MMU....

afro nimefafanua sauti kali
hebu jibu

my dear deep voice tunayoionglea hapa
ni kama sauti ya nne kanisani ..
kama umewahi kusikia wanakwaya
wakiimba ..

kama hiyo ya kwako iliyoiongelea
inaweza kuwa ya juu lakini ( nzito)
(haitokeagi mara nyingi lakini)
 
Asilimia 40 (40%) ya wasichana wanaangalia naKupenda ..Hiki ............ kabla ya kudate mwanaume..JE ni nini?? Waweza hisia mara nyingi upendavyo..All the best ...

Ni kweli kabisa mkuu
lakini jibu ni sautii..

Kwahiyo mabubu wamebakiwa na 60% tu ya wasichana???!!!!!!

tukitoa % ya wanaongalia sura, % ya pesa na % ya personality.... tunabaki na........

Mhhh kwahiyo bubu asiye na personality, pesa na mwenye sura mbaya kweli ana chance yoyote kwenye hii dating Game???
 
hivi deep voice ni ipi ????? barry white?????? huyo jamaa wa boyz 2 men???????? na sisi wenye sauti kali mnatu define vipi?????????? sauti ya juu kama zitto kabwe?????????????
Kama ya Godwin Gondwe
 
my dear deep voice tunayoionglea hapani kama sauti ya nne kanisani ..kama umewahi kusikia wanakwaya wakiimba ..kama hiyo ya kwako iliyoiongeleainaweza kuwa ya juu lakini ( nzito)(haitokeagi mara nyingi lakini)
Thats my Afro... teh! Cjawah fikiria hiyo kitu teh!
 
....dah, mna mambo kweli nyie.
Haya, hao 60% wavutiwa na nini...maana kwa sauti nishafeli!
BTW, sauti mwakusudia ile kama mtu mwenye decibels kama kameza chura ama?
 
....dah, mna mambo kweli nyie.Haya, hao 60% wavutiwa na nini...maana kwa sauti nishafeli!BTW, sauti mwakusudia ile kama mtu mwenye decibels kama kameza chura ama?
Umejuaje umefeli?!Kwani yako na ya mchumba zinaendana?!
 
....dah, mna mambo kweli nyie.
Haya, hao 60% wavutiwa na nini...maana kwa sauti nishafeli!
BTW, sauti mwakusudia ile kama mtu mwenye decibels kama kameza chura ama?


usiwasikie hao.
waongo mno..
mike tyson ana sauti ya kike...
na anapendwa mno na mabinti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…