usiwasikie hao.
waongo mno..
mike tyson ana sauti ya kike...
na anapendwa mno na mabinti
David Beckham pia. mkuu vipi ya kukwaruza. hailipi?
Ni kweli kabisa mkuu
lakini jibu ni sautii..
Sauti yako lege lege sana ehhhhh?!Pole bana!mkuu kwanza huyo afrodenzi hajiwezi mno kwa mbana pua maarufuwa bongofleva,anaitwa ali kiba....halafu anakwambia anataka sauti kama ya godwin gondeanafurahisha watu hapa lol
mkuu kwanza huyo afrodenzi
hajiwezi mno kwa mbana pua maarufu
wa bongofleva,
anaitwa ali kiba....
halafu anakwambia anataka sauti kama ya godwin gonde
anafurahisha watu hapa lol
Sauti yako lege lege sana ehhhhh?!Pole bana!
Mmmh samahani...⸮⸮hebu niombe radhi tafadhali.....naona unanitusi hap sasa
Kumpenda Marlow sio tafsiri ya kupenda sauti ya Marlow!Mkuu umenikumbusha. Nina ushahidi wa kimaandishi wa Afrodensi kuwa anampenda Marlow ile mbaya. Mpaka akaulizia kama yupo single. lol.
Mmmh samahani...⸮⸮
Umejuaje umefeli?!Kwani yako na ya mchumba zinaendana?!
usiwasikie hao.
waongo mno..
mike tyson ana sauti ya kike...
na anapendwa mno na mabinti
Hebu niibukie hewani nikupe sifa zako kama unastahili....naona itabidi uisikie sauti yangu soonuweze kui define proper.....
Kumpenda Marlow sio tafsiri ya kupenda sauti ya Marlow!
Lolzzzz....kweli hizo ni dalili za kutaka unyamaze sababu sauti inaharibu kila kitu!!!aaahhh, sijui bana...huwa anacheka nikiongea...sasa sijui ni hii sauti yangu 'kama paka kabanwa na mlango?''asavali' bana,...nilishapanga kwenda nunua tangawizi nichubue koo!
AD kasifia sauti nzito....mmeanzisha kesi kwamba haiwezi kua maana anampenda sana Alikiba na Marlow....mna ushahidi kwamba anawapenda hawa...yote hii inapelekea kuamini kwamba mnaamini kuwapenda kwake kunamaanisha sauti zao pia!Which ofcourse is possible kwasababu hawakp kwenye mahusiano so it doesnt really matter.Ila inapokuja kwa mtu ambae anahitaji kufurahia maongezi nae na maongezi yenyewe yapo kila siku basi sauti nzito ndo anayopendelea!!Sijasema kuwa anampenda Marlow kwa sababu ya sauti yake.
Lolzzzz....kweli hizo ni dalili za kutaka unyamaze sababu sauti inaharibu kila kitu!!!
Heheheh...ngoja nikuandalie mazoezi...ila mpaka nikamilishe plan ya mapinduzi naomba ujitahidi kutoongea sana!!Hao 60% mfuko..sura...mwili....etcdahhh,....sasa nikinyamaza ndio tutawasiliana nae vipi? ...sign languages si ndio atakufa mbavu?...halafu nawe unan'cheka badala kunipa ushauri jinsi ya kurekebisha hii 'squeaky voice,'..aaaargghh!Hivi hao 60% wavutiwa na nijifanyie usaili hapa?
Naaaah we nikitaka majibu nna uhakika utampendelea alafu asipate tiba anayohitaji!!Hiii tunaenda nayo mpaka tuwajue wakaka gani wa JF wana sauti za kututoa nyuma ya avatar...lolzz...pochi imepitwa na wakati!!Lizzy naomba ruhsa Mbu anipigie niievaluate sauti yake.... Bado mko na hii thread tu?
Lizzy naomba ruhsa Mbu anipigie niievaluate sauti yake.... Bado mko na hii thread tu?
Naaaah we nikitaka majibu nna uhakika utampendelea alafu asipate tiba anayohitaji!!Hiii tunaenda nayo mpaka tuwajue wakaka gani wa JF wana sauti za kututoa nyuma ya avatar...lolzz...pochi imepitwa na wakati!!
Kubali msaada wangu watu wawe wanakuomba usiache kuongea.......HA H AHHA!,,....acha utundu huo!mnh, wewe ushaanza kun'cheka kabla hata sauti hujanisikia...hamtonisikia kamwe!