CHEMSHA BONGO: Nina Uhakika watakaopata Hawatazidi hata Kumi, "KIPIMO CHA IQ"

CHEMSHA BONGO: Nina Uhakika watakaopata Hawatazidi hata Kumi, "KIPIMO CHA IQ"

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆

Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu



Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa

Mshindi Wa siku
SIku ya IDDI na Pasaka Nitakupa zawadi na RUKSA KUIDAI hiyo zawadi

Hakuna kipimo cha iq hii michezo ya watoto kama vile why is 6 afraid of 7 (Kwanini 6 anamuogopa 7), mtu ana jibu cause 7 ate 9 (7 alimla 8)

Ate - kula, matamshi yanafanana na 8 (eight)

28 = twenty ate (20 wamekula)

30 cows in a field, 20 ate chickens, how many left (ngombe 30 shambani, 20 walikula vifaranga, wangapi wamebaki)

Hapo ambao hawakula vifaranga ni 10.
 
Vp apo yupo sahihi,??
Screenshot_20240326-193032.png
 
Hakuna kipimo cha iq, hii ni michezo ya watoto kama vile kuulizana "why is 6 afraid of 7 (Kwanini 6 anamuogopa 7)" jibu linakuwa "7 ate 9 (7 alimla 8)"

Ate kwa kiswahili ni kula, matamshi ya ate yanafanana na eight (8)

28 = twenty ate (20 wamekula)

30 cows in a field, 20 ate chickens, how many left (ngombe 30 shambani, 20 wamekula vifaranga, wangapi wamebaki)

Hapo ambao hawajala vifaranga ni 10
 
☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆

Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu

View attachment 2945316

Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa
Ubaya wa chemsha bongo nazo ni kukaririshana maana mtu atataka ujibu jibu lake ambayo yeye analiona sahihi.
 
Toa neno IQ.
hii ni chemsha bongo tu..
na jibu ni simple sana

There are 30 cows in a field, twenty ate chickens, how many didn’t?
JIBU NI 10
 
Hakuna kipimo cha iq hii michezo ya watoto kama vile why is 6 afraid of 7 (Kwanini 6 anamuogopa 7), mtu ana jibu cause 7 ate 9 (7 alimla 8)

Ate - kula, matamshi yanafanana na 8 (eight)

28 = twenty ate (20 wamekula)

30 cows in a field, 20 ate chickens, how many left (ngombe 30 shambani, 20 walikula vifaranga, wangapi wamebaki)

Hapo ambao hawakula vifaranga ni 10.
Safi..
Kuweza kuvumbua Mafumbo kwa Haraka Ndio intelligent yenyewe na kwakuwa umeweza wapo ambao hawajaweza kabisa kugundua..
Na hata ungewaacha na video kwa miaka 10 wasingejua jibu..

And I know i know the reason why you call yoursel Bright cuz you deserve it 👏👏👏👏👏👏
 
Safi..
Kuweza kuvumbua Mafumbo kwa Haraka Ndio intelligent yenyewe na kwakuwa umeweza wapo ambao hawajaweza kabisa kugundua..
Na hata ungewaacha na video kwa miaka 10 wasingejua jibu..

And I know i know the reason why you call yoursel Bright cuz you deserve it 👏👏👏👏👏👏
Kawaida tu mkuu
 
Back
Top Bottom