Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Zile zile mia 500??Ungesema kabisa kwenye Title kama ni Video nisingekuja humu ,ona sasa Mb zangu 98 nilipanga zifike J3 zimenikimbia sasa ..
Cc : Intelligent businessman
Sijui akipata un limited nazo ata Bania😂🤣Dah😂Jamaa ni Manager mzuri wa
USI lie Sasa gun man 😂Jamaa ameyumba sana.
Jamani SI ni assumption tu😀😂ng’ombe hawali kuku bwana!
😀😀Jamani SI ni assumption tu😀😂
Ukimsikiliza muuliza swali utagundua hizo text kwenye vids zina misslead watu. 28 isomeke 20 ate chickens.....☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆
Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu
View attachment 2945316
Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa
Mshindi Wa siku
SIku ya IDDI na Pasaka Nitakupa zawadi na RUKSA KUIDAI hiyo zawadi
Hiyo ndo imepeleka watu chaka, angeandika kama inavyotakiwa mbona simple tu.Ukimsikiliza muuliza swali utagundua hizo text kwenye vids zina misslead watu. 28 isomeke 20 ate chickens.....
Jibu la kusema 10 ni sahihi. yaani ng'ombe 10 hawakula vyuku
Kweli kabisa mkuuNilisoma hapo juu bila kumsikikiza huyo jamaa, kilichoandikwa hapo kwenye video na anachokisema ni tofauti.
🤣🤣😂😂😂Zile zile mia 500??
Hutaki shida😅Vp apo yupo sahihi,??View attachment 2945335
Baada ya kufikiria saana naona hili swali lina majibu mawili☆☆Tupunguze Stress kwanza ¤☆☆☆
Angalia Video kwa makini sana Na ukipata Jibu niambie hapo Chini hiki ni kipimo cha IQ na utambuzi wa haraka na ueleze umepataje jibu
View attachment 2945316
Kila Nikikumbuka Jibu la Hilo swali lilivyopatikana Namuangalia Huyo mzee nacheka Sana maana Alivyoona wenzake wamepata ndo alazidi kuchanganyikiwa
Mshindi Wa siku
SIku ya IDDI na Pasaka Nitakupa zawadi na RUKSA KUIDAI hiyo zawadi
Kwann ujipe tabu 😂😂Hutaki shida😅