CHEMSHA BONGO: Nina Uhakika watakaopata Hawatazidi hata Kumi, "KIPIMO CHA IQ"

The answer is two (2).
 
30 cows, 20 eat chikens. So 10 didn't
 
Hiyo utajikuta unatumia triple integral ili kufikia jibu, wakati unge differentiate ungepata majibu mapema ukipachika hapo.

DR Mambo Jambo nikukumbushe lini zawadi yangu?
Hapo lazma uaply Intergration, Na baadae uaply lon ukimaliza unadifferntiate🤣🤣
 
Huwezi ita hiki ni kipimo cha iq, michezo ya kitoto hii lakini pia kuna uhitaji wa kujua lugha iliyotumika, mtu anaweza kuwa na high IQ lakini lugha sio yake, utamjaji vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…