CHEMSHA BONGO: Nina Uhakika watakaopata Hawatazidi hata Kumi, "KIPIMO CHA IQ"

Ukimsikiliza muuliza swali utagundua hizo text kwenye vids zina misslead watu. 28 isomeke 20 ate chickens.....
Jibu la kusema 10 ni sahihi. yaani ng'ombe 10 hawakula vyuku
 
Baada ya kufikiria saana naona hili swali lina majibu mawili

1. 2 cows didn't hii ni word play chicken iliyotumika hapo haimaanishi kuku inamaanisha kuogopa/afraid kama 28 chickens inamaanisha waliogopa 28 na wakabaki wawili ambao hawakuogopa.

2. 10 cows maana ukitamka "28 chickens" ina sound kama "20 ate chickens " hii inamaanisha 10 cows didn't.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…