Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

kuna post ya swali hili nliwahi kuiona humu ndani..!!
 
Iweje ujiweke kwenye mgao wa change ya hela ambayo hukuchangia in da first place.Kimsingi nguo imenunuliwa na kaka na dada jumla yao umewakopa 5000 kila mmoja kupata 10000 lakini imetumika 9700 na imebaki change 300 ambayo wewe haikuhusu kwa sababu huna sehemu katika uchangiaji hivyo 150 ni ya dada na 150 ya kaka.then chukua 9700 iliyochangwa na watu wa wilili yani kaka na dada utapata 4850 kwa dada na 4850 kwa kaka jumlisha na change yao 150 kwa kila mtu uone kama 10000 haitimii.
 
Umekwenda kwa muuza nguo ukaipenda nguo flan muuzaji akwambia bei 10,000! mfukoni huna pesa ukaenda kwa kaka yk akakukopesha 5000! na dada yako akakukopa pia5000! jumla ikawa10000! ukarudi kwa muuza nguo mkapatana akakufanyia 9700! na ukarudishiwa 300! ukarudi nyumbani ukapunguza deni kwa kaka sh100! ikabaki4900! na dada ukampa sh100! ikabaki pia 4900! na wewe ukabaki na sh 100! Sasa ukichukua 4900 ya kaka na 4900 ya dada inakua 9800! na wewe umebaki na sh 100! ambayo jumla ni 9900! sasa sh 100 imekwenda WP
 
Nimeiweka benk

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 


Hiyo itakuwa mfukoni umeisahau.
 
uwezi kuwarudishia sh.100 na huyu 100 lazima uwape 150 na mwngne 150.
 
Hii nilishawahi kuiona lakini ilikuwa kwenye USD. Nikupe mji basi utoe jibu. Chukua Katavi kwa mtoto ambaye zamani alikuwa wa mkulima
 
chukua 9700 igawe kwa 2 ndo utapata den halisi la kaka na dada utapata 4850 haya jumlisha na ile 100 uliyowarudishia ongeza 50 kumbuka ulibak na 100 utapata 5000
 
chukua 9700 igawe kwa 2 ndo utapata den halisi la kaka na dada utapata 4850 haya jumlisha na ile 100 uliyowarudishia ongeza 50 kumbuka ulibak na 100 utapata 5000

safi sana... kwa sababu kama angemrudishia kila mtu 150 inamaana kila mtu angekua anamdai 4850 ambayo jumla kwa wawili ni 9700=bei ya nguo...
 
si hauna hapo?? mpaka ukaitafute kama kuchomoa stand au kutapel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…