Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Najua unaniheshimu mzee. Lakini huku si ndiyo tunapopunguzia hasira zetu za kule kwenye kuulizana nchi yetu inakwenda wapi? Kwani wewe hujui kwamba hata Stephen Wasira naye huwa anapenda kucheka?Kigarama nakuheshimu ujue?
Jana ilikuwa ni Birthday day yangu ndiyo mwanangu akanipa lile swali kama zawadi yangu ya kuzaliwa!!