Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

Nimekusoma mkuu,tuendelee kutazama bunge sasa maana ndio maisha yetu bongo.
 
Hapo mbona hesabu rahisi tu 4900/= Deni analokudai rafiki yako na 4900/= deni analokudai dada yako ukijumlisha unadaiwa 9800/= na 200/= ulishapunguza deni kwa hiyo hiyo 100/= uliyokuwa nayo mkononi ni sehemu ya deni unalodaiwa na hao ndugu kwa hiyo ni pesa iliyobaki kwenye manunuzi ukiila au usiile deni lipo palepale.So huwezi jumlisha
100/=
kwa 9800/= kwani 100/= ipo ndani ya 9800/=.
 
jibu warudishie 150 zao sawa mkuu usilete tena hilo swali jipange tena..
 
Majibu ya Geofrey na MKOBA 2011 nadhani sahii kabisa. Nashukuru kwa kuwa na mimi leo nimepata jibu la hilo swali.
 
[h=6]Nguo inauzwa sh 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh 5000 na kwa kaka sh
5000 ukapata sh 10,000. Ukaenda ukapatana na kununua kwa sh 9,700 ukarudishiwa sh 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh 100 kwa kaka ... na sh 100 kwa dada, ukabaki na sh 100. Hivyo ukawa unadeni kwa kaka 4900 na kwa dada 4900, ukijumlisha unapata 9800, ukiongeza na ile 100 ya
kwako inakua 9,900. JE 100 IMEKWENDA WAPI??[/h]
 
SASA SI UMEWALIPA 100 KILA MMOJA SO WANAKUDAI 9,800 SIO 10,00O TENA SO HATA UKIPATA 10,000 UTAWALIPA 9,800 AMBAPO UTABAKIWA NA 200 UKIJUMLISHA NA 100 ULIYOBAKIWA NAYO BAADA YA KUWALIPA INAKUA 300 AMBAYO NDIO PUNGUZO ULILOPEWA DUKANI. KAMA HUJAELEWA UlizA™
 
[h=6]Nguo inauzwa sh 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh 5000 na kwa kaka sh
5000 ukapata sh 10,000. Ukaenda ukapatana na kununua kwa sh 9,700 ukarudishiwa sh 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh 100 kwa kaka ... na sh 100 kwa dada, ukabaki na sh 100. Hivyo ukawa unadeni kwa kaka 4900 na kwa dada 4900, ukijumlisha unapata 9800, ukiongeza na ile 100 ya
kwako inakua 9,900. JE 100 IMEKWENDA WAPI??[/h]
Itakua imedondoka!
 
-5000+1= -4900 sawa!
-5000+1= -4900 sawa!
-9800+1= -9900 si sawa!
-9800+1= -9700 SAWA!!!
 
9800 hili ndilo deni hauwezi ukajumlisha 100 coz 100 imehesabiwa kwenye. 9800-100=9700 tumia toa si jumlisha.
 
Hili swali limekua kero sasa, kila uchao watu wakilala wakiamka wanaedit maneno ili waonekane wao nondo kumbe wapi, ni kopi pest kwa kwenda mbele. Tunashukuru kwa hii tabia.
 
Hili swali limekua kero sasa, kila uchao watu wakilala wakiamka wanaedit maneno ili waonekane wao nondo kumbe wapi, ni kopi pest kwa kwenda mbele. Tunashukuru kwa hii tabia.

Kumbuka wengine ndo wanajiunga hapa leo na wengine huwa wamezoea majukwa fulani hili ndo wanafungua leo mkulu!
 
[h=6]Nguo inauzwa sh 10,000 we huna pesa, ukaamua kukopa kwa dada yako sh 5000 na kwa kaka sh
5000 ukapata sh 10,000. Ukaenda ukapatana na kununua kwa sh 9,700 ukarudishiwa sh 300. Ukaamua kupunguza deni. Ukatoa sh 100 kwa kaka ... na sh 100 kwa dada, ukabaki na sh 100. Hivyo ukawa unadeni kwa kaka 4900 na kwa dada 4900, ukijumlisha unapata 9800, ukiongeza na ile 100 ya
kwako inakua 9,900. JE 100 IMEKWENDA WAPI??[/h]



10,000-300=9,700/2=4,850+100=4,950
deni kwa mtu mmoja. Kwa watu wawili
9,900(4,950*2)+100(uliyonayo
mkonon)=10,000.
Umeridhika?
 
Nguo inauzwa 10,000/-
Wewe huna hela; ukaamua kukopa kwa dada 5000/- na kaka 5000/-
Ukaenda dukani kuomba upunguziwe bei na kununua nguo kwa 9,700/- na ukarudishiwa chenji 300/-
Ili kupunguza deni ukatoa 100/- kwa dada na 100/- kaka na wewe ukabaki na 100/-
Kwa hivyo deni lililobaki kwa dada ni 4,900/- na kaka 4,900/-
Ukichukua 4900/- ya dada na kaka unapata 9,800/-, ukiongeza ile 100/- ya kwako inakuwa 9,900/-
Je, 100/- imeenda wapi???!
MIMI NIMEJARIBU NIMECHEMSHA JIBU LAKE. :smash: :smash: 😛oa
 
Bei ya nguo ni 9700 +200 ya kaka na dada +100 uliyobakiwa nayo =10000
 
Back
Top Bottom