Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

Acha maswali ya kitoto ww! Sh 100 ipi unayoulizia? Kama wale umewarudishia 100 kila mmoja basi wao watadhan wamekuchangia 4900kila mmoja, lakin kumbuka ile 100 ambayo umechakachua ipo ktk hizo 4900 za kila mmoja! Kwa maana hyo ukiito hiyo 100 ina maana kila mmoja atakuwa amechanga 4850! Sasa chukua hiyo 4850x2+200(100 ulizowarudishia)+100 uliyochukua! Kuna haja ya kuweka jibu...?
 
Mkubwa mbona unaua sisimizi kwa kifaru,
Nihv, umekopa 10000, ukanunua nguo 97,000 na chenji 300
ukalipa Deni 200 ukabk na den 9800 wew unamia, ukilip ile 100 utbk unadaiwa 9700 ambayo ndo nguo uliyonunua.
@ zs point my grand mother cn run trial
 

Kweli wewe mhasibu, lakini mbona hujaonyesha punguzo/discount ilikoenda?
 

Sasa Wasira kaingiaje hapo?
punguza Ny****e, utacamerun***wa siku moja kupitia milango yako yote mitano ya fahamu.
 
Sasa Wasira kaingiaje hapo?
punguza Ny****e, utacamerun***wa siku moja kupitia milango yako yote mitano ya fahamu.

alisemalo mtu ndilo lenye limemjaa kumoyo.
Nashukuru kwa kushea nasi expirience yako ya milango mitano ya fahamu...
 

Kaaaaaz kwel kweli..... Wana isabat mpoooooooo....!!!!!!
 
hili toka 2008 linulizwa kwenye hii mitandao ya kijamii hadi nilishalichoka...

kama jibu halijapatikana litaendelea kuwepo.au misifa tu ili uonekane hupo kwenye mitandao ya kijamii toka 2008.sifa za hovyo tu.
 

ingawa sijaelewa ila unajua kutumia elimu yako kwenye maisha.salute.
 
Umekuta nguo inauzwa 10,000 ukaenda kwa dada na kaka yako kila mmoja akakukopesha 5,000, ulivyokwenda kununua nguo ukakuta bei imepungua inauzwa sh 9700, ukarudishiwa 300, ulivyorudi home ukaamua kupunguza deni, dada ukampa 100 na kaka 100, sasa dada anakudai 4900 na kaka 4900 jumla unadaiwa 9800, ukijumlisha na 100 ulobaki nayo jumla kuu ni sh 9900, sasa 100 nyingine imekwenda wapi ili itimie 10,000?
 
Umekuta nguo inauzwa 10,000 ukaenda kwa dada na kaka yako kila mmoja akakukopesha 5,000, ulivyokwenda kununua nguo ukakuta bei imepungua inauzwa sh 9700, ukarudishiwa 300, ulivyorudi home ukaamua kupunguza deni, dada ukampa 100 na kaka 100, sasa dada anakudai 4900 na kaka 4900 jumla unadaiwa 9800, ukijumlisha na 100 ulobaki nayo jumla kuu ni sh 9900, sasa 100 nyingine imekwenda wapi ili itimie 10,000?
 
We chukua hiyo mia kampe dada akalipe deni la mafuta ya taa dukani. Unaibania yako ?!
Unadaiwa 9800 hiyo ni -ve.
Una 100 ya chenji hiyo ni +ve.
-9800+100 = 9700.
Siyo 9900 Mkuu.
 
hapo umetutega tu lkn jibu lipo wazi
100 aliyoamua kubaki nayo yeye ndio deni linalo baki
maana deni 9900 akijumlisha na 100 aliyobaki nayo inakuja 10,000.
 
Bei ulonunulia nguo ni 9700, ukiigawa kwa mbili utapata sh. 4850, maanayake ulitumia 4850 kutoka kwa kaka na the same amount kutoka kwa dada, so kilammoja alikuwa anakudai 150, na wewe una 300, ukiwapa sh.100 kila mmoja utakuwa umerudisha 4950 na kubakiwa na deni la sh. 50 kwa kila mmoja ambayo ndio hyo sh. 100 ulobakiwa nayo.
 
Wadau hebu tuchemshe ubongo kidogo kwa swali la kizushi lifuatalo.

"Kuna nguo inauzwa 10,000/= na wewe unaipenda ila hauna hiyo pesa hivyo ukaamua kwenda kukopa kwa Rafiki yako 5,000/= na kwa Dada yako 5,000/= na ukafanikiwa kuipata hiyo 10,000/=,ulipokwenda dukani ukafanya maelewano na muuzaji na akakubali kukuuzia kwa 9,700/= na akakurudishia 300/=.Ukaamua kupunguza deni kwa rafiki yako 100/= na kwa dada yako 100/= na wewe ukabakiwa na 100/=.Hivyo ukabaki na deni la 4,900/= kwa rafiki yako na 4,900/= kwa dada yako ambapo inaleta jumla ya 9,800/= ukiongeza na 100/= yako uliyobakianayo inaleta 9,900/=.Je shillingi 100/= imekwenda wapi katika mahesabu yako?."
 
huwezi kujumlisha 100/= kwenye 9800/=, unatakiwa kujumlisha 200/= uliyotumia kupunguza deni kwa rafiki yako na dada yako, hope umenielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…