Yap!
Lets try and see......alikopa pesa tuna debit assets(cash) 10,000 na ku credit wadeni kwa same amount. Aliponunua nguo tuna debit assets(nguo) 9,700 na ku credit cash kwa same amount. Aliporudisha deni kiasi, tuna debit wadeni kwa 200 na ku credit cash kwa same amount. At this point aki run trial balance, itasomeka hivi: cash dr 100 (=10000-9700-200); nguo dr 9,700; wadeni cr 9,800(=10,000-200). Sum of dr 9,800 and sum of cr 9,800. Mali alizonazo (cash na nguo ) zinalingana na deni alilonalo! Utaona kuwa kwenye hilo swali lako kwa makosa umejulisha deni na mali ili kupata kiwango cha deni!
Sina hakika kama inaeleweka.....shule nimetoka kitambo!
Yap!
Lets try and see......alikopa pesa tuna debit assets(cash) 10,000 na ku credit wadeni kwa same amount. Aliponunua nguo tuna debit assets(nguo) 9,700 na ku credit cash kwa same amount. Aliporudisha deni kiasi, tuna debit wadeni kwa 200 na ku credit cash kwa same amount. At this point aki run trial balance, itasomeka hivi: cash dr 100 (=10000-9700-200); nguo dr 9,700; wadeni cr 9,800(=10,000-200). Sum of dr 9,800 and sum of cr 9,800. Mali alizonazo (cash na nguo ) zinalingana na deni alilonalo! Utaona kuwa kwenye hilo swali lako kwa makosa umejulisha deni na mali ili kupata kiwango cha deni!
Sina hakika kama inaeleweka.....shule nimetoka kitambo!
kwa hiyo wakija ma- auditor itakuwa kasheshe!!Kweli wewe mhasibu, lakini mbona hujaonyesha punguzo/discount ilikoenda?
Najua unaniheshimu mzee. Lakini huku si ndiyo tunapopunguzia hasira zetu za kule kwenye kuulizana nchi yetu inakwenda wapi? Kwani wewe hujui kwamba hata Stephen Wasira naye huwa anapenda kucheka?
Jana ilikuwa ni Birthday day yangu ndiyo mwanangu akanipa lile swali kama zawadi yangu ya kuzaliwa!!
Sasa Wasira kaingiaje hapo?
punguza Ny****e, utacamerun***wa siku moja kupitia milango yako yote mitano ya fahamu.
Yap!
Lets try and see......alikopa pesa tuna debit assets(cash) 10,000 na ku credit wadeni kwa same amount. Aliponunua nguo tuna debit assets(nguo) 9,700 na ku credit cash kwa same amount. Aliporudisha deni kiasi, tuna debit wadeni kwa 200 na ku credit cash kwa same amount. At this point aki run trial balance, itasomeka hivi: cash dr 100 (=10000-9700-200); nguo dr 9,700; wadeni cr 9,800(=10,000-200). Sum of dr 9,800 and sum of cr 9,800. Mali alizonazo (cash na nguo ) zinalingana na deni alilonalo! Utaona kuwa kwenye hilo swali lako kwa makosa umejulisha deni na mali ili kupata kiwango cha deni!
Sina hakika kama inaeleweka.....shule nimetoka kitambo!
hili toka 2008 linulizwa kwenye hii mitandao ya kijamii hadi nilishalichoka...
Yap!
Lets try and see......alikopa pesa tuna debit assets(cash) 10,000 na ku credit wadeni kwa same amount. Aliponunua nguo tuna debit assets(nguo) 9,700 na ku credit cash kwa same amount. Aliporudisha deni kiasi, tuna debit wadeni kwa 200 na ku credit cash kwa same amount. At this point aki run trial balance, itasomeka hivi: cash dr 100 (=10000-9700-200); nguo dr 9,700; wadeni cr 9,800(=10,000-200). Sum of dr 9,800 and sum of cr 9,800. Mali alizonazo (cash na nguo ) zinalingana na deni alilonalo! Utaona kuwa kwenye hilo swali lako kwa makosa umejulisha deni na mali ili kupata kiwango cha deni!
Sina hakika kama inaeleweka.....shule nimetoka kitambo!