Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 286
kwa hiyo hiyo equation ina balance kama ifuatavyo;
on the asset side kuna cash on hand sh. 100 na nguo uliyonunua (stock) sh. 9,700 total sh. 9,800.
On the liabilities side kuna deni la dada sh. 4,900 na deni la kaka sh. 4,900 jumla ni sh. 9,800. So mizania yetu imebalance, na hakuna mia inayopungua au kuzidi sehemu.
on the asset side kuna cash on hand sh. 100 na nguo uliyonunua (stock) sh. 9,700 total sh. 9,800.
On the liabilities side kuna deni la dada sh. 4,900 na deni la kaka sh. 4,900 jumla ni sh. 9,800. So mizania yetu imebalance, na hakuna mia inayopungua au kuzidi sehemu.