Chemsha Bongo

Mm jibu langu 12 vp na mm kilaza niende nikaungane nao mkuu πŸ˜‚?
Tena we ndo babu wa vilaza kabisa. Faili lako Milembe unakumbuka lilipo? Na wewe nilijua una nusu ya akili kumbe Mwakalobo tu. Bora anaevua dagaa. Mdogo wangu,umeniangusha nisikudanganye. Wewe na mtoa mada,wale wale tu. Sasa nimeona. Kumbe nyie ndo mlikua mnatumia ada mnasema mmekutana na majambazi. Alaaaa!!! Shida ni nyie au walimu wenu?!!!
 
Hii formula Sijaelewa
Angalia tofauti
Kutoka 42 to 30 ni 12
Kutoka 30 to 20 ni 10, hapa imepunguzwa mbili kutoka 12 mpaka 10

Sasa endelea ,
20 unapunguza 8 = 12
12 unatoa 6 kwa kupunguza 2 kutoka kwenye 8
Jibu ni 6
 
Angalia tofauti
Kutoka 42 to 30 ni 12
Kutoka 30 to 20 ni 10, hapa imepunguzwa mbili kutoka 12 mpaka 10

Sasa endelea ,
20 unapunguza 8 = 12
12 unatoa 6 kwa kupunguza 2 kutoka kwenye 8
Jibu ni 6
Na bado tuuu! Unaendelea kuwapotosha wenzangu hapa?! Bora hujawa mwalimu. 3=? Tena imegeuka kuwa 6????? Hapana.
 
Najua kila mara na katika kila Uzi unatajataja Jina langu ( ID yangu ) ukiwa na sababu Kuu mbili zifuatazo....

1. Unataka kutumia Mgongo wa Umaarufu wangu hapa Jamiiforums ili ID yako nayo ijulikane haraka ukiamini kuwa nami nitakuwa nakujibu mara kwa mara au tunajibizana hivyo nitakuwa naipromoti hii ID yako.

2. Kwa Makusudi na kwa Kimkakati unataka kulazimisha na kufanya Watu waanze kuhisi kuwa hii ID yako ni Mimi GENTAMYCINE ( yaani ni yangu ) kisha nianze Kuchafuliwa na Kushambuliwa kuwa nina Multiple IDs hapa Jamiiforums.

Mwenyezi Mungu alisahau tu kunipa UTAJIRI GENTAMYCINE ila ambako AMENIBARIKI vilivyo na pakubwa ni katika AKILI / UWEREVU na MAONO MAKALI hivyo ninamshukuru mno kwa hilo.

Nimemaliza.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mm jibu langu 12 vp na mm kilaza niende nikaungane nao mkuu πŸ˜‚?
Jibu ni 6

Napenda sana hisabati Ila sio zile za Computer zinaitwa Fibonacci Number, Geometry & Prime Number labda common summation

Noma πŸ€ͺ
 
Jibu ni 6

Napenda sana hisabati Ila sio zile za Computer zinaitwa Fibonacci Number, Geometry & Prime Number labda common summation

Noma πŸ€ͺ
Mtu anayejua mihisabat nakua namuheshim sana duu kila nikikuona ntakua nakupigia salute mkuu
nyiny ni ma alien sio watu
hIsabat inatisha sana
Mm nlikua naloana jasho kal na apo nlikua hom arumeru wkt nasoma napata presha na kizunguzungu kwa pamoja wkt wa mtihan wa hesab daah wacha tu nibebe tofar sait ni hak yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…