Tena we ndo babu wa vilaza kabisa. Faili lako Milembe unakumbuka lilipo? Na wewe nilijua una nusu ya akili kumbe Mwakalobo tu. Bora anaevua dagaa. Mdogo wangu,umeniangusha nisikudanganye. Wewe na mtoa mada,wale wale tu. Sasa nimeona. Kumbe nyie ndo mlikua mnatumia ada mnasema mmekutana na majambazi. Alaaaa!!! Shida ni nyie au walimu wenu?!!!Mm jibu langu 12 vp na mm kilaza niende nikaungane nao mkuu 😂?