Joannah si na wewe ni walewale tuuu. Hizo ada tungelia mandazi wote tu. Bora mimi huo ujinga niliukataa mapemaaaaa. Wewe unaambiwa 3=? Af unaanza kusaka mchawi!!! Kweli! Na umri huo! Hakuna lolote. Ushamba mtupu. Elimu,sifuri kabisa.Nijibu kitu ambacho hakipo? Akalejee hesabu zake. Mbuzi hawezi kuwa simba. Haya, bora kawadanganya za mwanzoni talakimu na talakimu. Ya mwisho ni sawa na alama!? Af mkakubali?
Tena naondoka zangu usinifate