Chemsha bongo

Chemsha bongo

Mturutumbi255

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2024
Posts
200
Reaction score
420
Unatembea kwenye barabara isiyo na mwisho, na una kioo kimoja mikononi mwako. Ukitazama kwenye kioo hicho, unaona kitu ambacho kila mtu huona lakini hakuna yeyote anayeweza kukiona. Je, ni kitu gani hicho?
 
Back
Top Bottom