Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Haya ndo madhara ya kuwa na mbumbumbu wengi Bungeni, tuliendekeza ushabiki tukaacha kuwapa Wapinzani Ubunge sasa tunajionea nchi inapelekwa jinsi majizi yanavyotaka, 2025 Watanzania tuamke,tuwachague Wabunge radical ili watusemee mjengoni
Ni kweli mambo mengi hawaja raise any concern wamepigwa ha Kama yalivyo sasa kwenye utekelezaji inakuja kuwa surprise kwa wananchi kama hili la tozo za miamala ya kuchukua hela bank [emoji24][emoji24]
Umenena vema ni kweli kuchagua wabunge ambao wanaenda bungeni kama vacation/holiday ni shida!
Hawaendi kusoma makarabrasha, wao ni kupitisha kila kitu.
Lakini Magufuli ndivyo alitaka !