Inasikitisha, lakini hata hiyo Bajaj mbona huhoji ilikuwa inatoka wapi? Simtetei Chenge lakini naamini hivi:...sasa saa tisa za usiku alikuwa anatoka wapi mzee wa visenti au ndio kwenye vikao vya mafisadi?
Balaa hiyo imeanza? sasa saa tisa za usiku alikuwa anatoka wapi mzee wa visenti au ndio kwenye vikao vya mafisadi? Ila ana vijisenti ataachiwa tu hata kama ana kosa. Wamempima kilevi kwenye damu wakati huo. Itaambiwa bajaji imemgonga. Gonga wewe uone?
Hahahaha,TISA UCKU??? LAZIMA ALITOKA KWA MGANGA HUYO, ushahidi tosha hata bungeni ucku alikuwa yeye akimwaga upupu ...
TISA UCKU??? LAZIMA ALITOKA KWA MGANGA HUYO, ushahidi tosha hata bungeni ucku alikuwa yeye akimwaga upupu ...
Unategemea nini?
Nchi haina Uongozi.
Viongozi wote wanaogopana. Wote wanamaovu. ...
Hakuna wa kusimama na kukemea. Anaogopa watarudisha majibu!
SO?
Kila mtu ni kiongozi.
Polisi anasimama popote anaua!
Kila mtu ni mwana siasa...atafanya anachofanya..atafanywa nini? Kwani wao wamefanywa nini?
Kila mtu anaita vyombo vya habari ...anabwabwajika ..iwe hovyo au with sense. Kila mtu ni kiongozi...Tena ajiona wa kutukuka!!
Kila mtu ni kiongozi na kila mtu anaweza kuchukua sheria na kuitumia anvyotaka.Hakuna kkiogozi mwanye ujasiri wa Ukweli na haki..
Mkuu wa wilaya....Mwalimu mkuuu...Balozi....Kibaka....All is just hopelesss!!
Kwanini Chenge asifanye alivyofanya? Haswa Chenge? why not?
Ujeuri unaonyeshwa na wengine umefanyiwa nini? Kwani yeye hana jeuri? Kwani jeuri ya Kagoda imefanywa nini? Kwani jeuri ya mitambo ya umeme etc imefanywa nini?
Kwani yeye hana jeuri? Just shoot!!!!
Nchi imekuwa ya kuchezewa na kila mtu sasa!!!
Ni mpaka Viongozi watakapo ondoa DHIHAKA na USWAHIBA na kufanya kazi tuliyowapa ...ndipo tanzania itarudi kwenye mstari...vinginevyo....?...Unaweza kubunia!!!
Alikuwa anaendesha yeye mwenyewe. Ajali ilitokea jana usiku na aligonga bajaji kwa nyuma na kuiburuza umbali mrefu kidogo kiasi cha kuwezakupoteza maisha ya wasichana wawili. Anatarajiwa kufikishwa mahakama ya kinondoni.
Kesi yake inasubiri wakuu wa police kutokana na wadhifa wake serikalini. Ilikuwa saa tisa usiku wa kuamkia leo asubuhi.
Naona sasa Kova anaongea na waandishi.Alishalewa huyo! na baada ya tungi chakari, kibajaj hakukiona si unajuwa ulevi tena? Jee, polisi walimpeleka kupima pombe ngapi aligida?
road accident sio ajabu na kwa dereva adhabu ni kunyanganywa leseni....
Hata daladala mkuu...Sometimes wenye bajaj wanaendesha hovyo sana, na kama wewe ni dereva lazima umeshanote hicho hapa Dar
Alikuwa anaendesha yeye mwenyewe. Ajali ilitokea jana usiku na aligonga bajaji kwa nyuma na kuiburuza umbali mrefu kidogo kiasi cha kuwezakupoteza maisha ya wasichana wawili. Anatarajiwa kufikishwa mahakama ya kinondoni.
Kesi yake inasubiri wakuu wa police kutokana na wadhifa wake serikalini. Ilikuwa saa tisa usiku wa kuamkia leo asubuhi.
saa tisa usiku alikua anatoka wapi huyu nae, hana dereva kwani, au alikua amelewa?.
atalijua jiji
Kwani wengine wanaokua barabarani saa 9 usiku wanaenda/wanatoka wapi?saa tisa usiku alikua anatoka wapi huyu nae, hana dereva kwani, au alikua amelewa?.
atalijua jiji