Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

- Hizi habari kama ni za kweli basi ni very disturbing news, my heart goes to familia ya marehemu dereva wa hiyo bajaji,

- Wenzetu US siku hizi wamezi-adjust sheria za barabara kwa hiyo kwao sasa ajali inaangaliwa case by case sio generalization kama hapa kwetu, inasikitisha sana.

William.

Hivi hapa Bongo kuna sheria za usalama barabarani au tunakwenda kusema kuwa ni kudra za mwenyezi Mungu? Halafu Tanzania Mungu ndo hatupendi jamani mbona ajali za kifo ni za kwetu tu?

Aahhaaa nimekumbuka wema wanachukuliwa mapema ilihali wabaya wanapewa muda wakutubu maana Mungu anatupenda sana
 
sasa utasikia kuwa hao marehem ndo wamegonga gari la chenge, na bajaji na kusababisha vifo
 
sasa utasikia kuwa hao marehem ndo wamegonga gari la chenge, na bajaji na kusababisha vifo

Hata mimi nangoja kusikia kuwa dereva wa Bajaj alireverse bila kuangalia gari LILILOSIMAMA nyuma yake!

Amandla.........
 
kaka,wewe umesoma driving school au unaendesha tu?..si kila anaegonga gari la mwenzie kwa nyuma basi amefanya makosa,lazima ujue kuwa huyo dereva wa bajaj alisimama katika mazingira gani,kama alisimama tu katikati ya barabara na kushusha/kupakia abiria hilo halitokuwa kosa la chenge...hiyo ajali imetokea usiku wa manane ambapo kwa muda huo barabara huwa zimetulia na hakuna msongamano wa magari hivyo cha kwanza kitakachomfanya chenge awe kwenye wakati mgumu labda awe amekutwa amekunywa pombe.


- Sheria za uendeshaji NYC, unapogonga gari lingine kwa nyuma, automatically unakuwa legally responsible regardless ya what dereva wa mbele did, kwa sababu sheria ziko clear kwamba kuna distance unatakiwa dereva wa nyuma ku-maintain,

- Meaning kwamba ukifuata sheria ya hiyo following distance basi hutakuwa na tatizo incase dereva wa mbele akifanya anthing unusual kwa sababu una nafasi ya kutosha kumanouver to the safety, sasa sina uhakika sana na sheria zetu za bongo, lakini ingekuwa NYC hakuna hata haja ya uchunguzi hapa dereva wa nyuma ni liable wa hii accident, kwa sababu ya kosa wanaloita aggressive driving.

Ahsante.

William.
 
- Sheria za uendeshaji NYC, unapogonga gari lingine kwa nyuma, automatically unakuwa legally responsible regardless ya what dereva wa mbele did, kwa sababu sheria ziko clear kwamba kuna distance unatakiwa dereva wa nyuma ku-maintain,

- Meaning kwamba ukifuata sheria ya hiyo following distance basi hutakuwa na tatizo incase dereva wa mbele akifanya anthing unusual kwa sababu una nafasi ya kutosha kumanouver to the safety, sasa sina uhakika sana na sheria zetu za bongo, lakini ingekuwa NYC hakuna hata haja ya uchunguzi hapa dereva wa nyuma ni liable wa hii accident, kwa sababu ya kosa wanaloita aggressive driving.

Ahsante.

William.

sawa kabisa unachokisema,tatizo hapo ni ''kama'' dereva wa bajaj atakuwa kasimama barabarani kushusha/kupakia abiria hilo litakuwa sio kosa la chenge...kwa wale ambao wanaendesha vipindi vya usiku watakubaliana nami jinsi ajali sinavyotokea kwa madereva wazembe kupaki magari yao kiholela barabarani,ni rahisi sana kugonga gari lililosimama barabarani usiku kuliko mchana.
 
Tusimuhukumu Chenge haraka haraka. Tuna maswali ya kujiuliza kuwa kwa nini driver wa Bajaj amekimbia? Anaogopa nini ? labda hana leseni ya kuendesha au alikuwa amelewa? Pole sana wafiwa.
Chenge angeweza kutojisalimisha kama alikuwa na nia hiyo.
 
kaka,wewe umesoma driving school au unaendesha tu?..si kila anaegonga gari la mwenzie kwa nyuma basi amefanya makosa,lazima ujue kuwa huyo dereva wa bajaj alisimama katika mazingira gani,kama alisimama tu katikati ya barabara na kushusha/kupakia abiria hilo halitokuwa kosa la chenge...hiyo ajali imetokea usiku wa manane ambapo kwa muda huo barabara huwa zimetulia na hakuna msongamano wa magari hivyo cha kwanza kitakachomfanya chenge awe kwenye wakati mgumu labda awe amekutwa amekunywa pombe.

Mtimti sio driving school tu, nimesoma na difensive driving course, kinachotakiwa ni Dereva wa gari la nyuma kuwa unafikiria kuwa dereva wa gari la mbele anaweza kufanya kitu ambacho ni un-usual na jinsi gani uta-solve hiyo situation.
 
Tusimuhukumu Chenge haraka haraka. Tuna maswali ya kujiuliza kuwa kwa nini driver wa Bajaj amekimbia? Anaogopa nini ? labda hana leseni ya kuendesha au alikuwa amelewa? Pole sana wafiwa.
Chenge angeweza kutojisalimisha kama alikuwa na nia hiyo.

mkuu hapa ndio watu wanatakiwa wapaangilie napo..ni kweli bwana vijisenti angeweza kutojisalimisha!na kama unaendesha jijini dar utakuwa unajua pia adha za vibajaji(nadhani vipo sawa na daladala sasa kwa fujo).hasira za pesa zetu za rada zisipelekee tumhukumu vibaya moja kwa moja,hili ni suala tofauti..
 
Mtimti sio driving school tu, nimesoma na difensive driving course, kinachotakiwa ni Dereva wa gari la nyuma kuwa unafikiria kuwa dereva wa gari la mbele anaweza kufanya kitu ambacho ni un-usual na jinsi gani uta-solve hiyo situation.

sawa,lazima uwe na fikira hizo,kama ni fikira zingekuwa zinafanya kazi basi ajali zisingekuwa zinatokea maana nami ntasema nilikuwa nafikiria kumkwepa lakini nikafikiria labda wa nyuma yangu atafikiria kuniovertake hivyo nikafikiria kuwa anweza kunigonga...kikubwa ni kufuata sheria,huyo wa mbele asingesimama katikati ya barabara basi hiyo ajali isingetokea..
 
Kumbukeni kesi za barabarani sio kila mara mmoja lazima awe na makosa na mwingine hana. Kuna wakati inapotokea ajali madereva wote wanashitakiwa kutokana na kosa la dereva binafsi.

Kwa mfano upo barabarani gari nyingine inakuja sight yako, unahisi kuwa huyo bwana atakugonga, unaamua kuacha sight yako na kwenda upande usio wako, ukishahama yule aliyekuwa kwenye sight yako anarudi kwake mnagongana.

Baada ya kupimwa maderva kiwango cha elevi yule dereva anaonekana alikuwa na kiwango kikubwa cha ulevi.

Yeye kesi yake kuendesha gari akiwa amelewa, wewe kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha uharibifu wa mali (assume hamna aliyekufa).

Kwa hiyo barabarani sio kila mara mmoja anamakosa inawezekana wote madereva mnamakosa.

Kwa hiyo hapo inamaana chenge anasimama kama dereva mwenye makosa na dereva wa bajaj kwa makosa yake
 
sawa kabisa unachokisema,tatizo hapo ni ''kama'' dereva wa bajaj atakuwa kasimama barabarani kushusha/kupakia abiria hilo litakuwa sio kosa la chenge...kwa wale ambao wanaendesha vipindi vya usiku watakubaliana nami jinsi ajali sinavyotokea kwa madereva wazembe kupaki magari yao kiholela barabarani,ni rahisi sana kugonga gari lililosimama barabarani usiku kuliko mchana.

- Again kwa sheria za NYC, madereva wa abiria siku zote wanakuwa na leeway ya kusimama popote kwa sababu wanaweza kua wanashusha abiria ambao ni disabled, hata mabasi ya abiria husimama anywhere na wakati wowote kwa hiyo bado dereva wa nyuma anakuwa 100% responsible,

- Labda cha muhimu hapa ni kujua exactly what happened katika hii ajali, lakini bado naamini kwamba dereva wa nyuma ni responsible tena kwa 100%, hata kama ni Mheshimiwa Chenge, regardless ya what dereva wa mbele did I mean you just can't it as a no! no!,

- Huwezi kugonga gari la mbele au abiria wanaoshuka kutoka gari la mbele yako ukawa huna makosa, naamini hata kama tungekuwa Banana Republic bado kugonga kwa nyuma ni makosa ya dereva wa nyuma, lakini hebu tupate ukweli wote kuhusu hii ajali.

Ahsante.

William.
 
- sheria za uendeshaji nyc, unapogonga gari lingine kwa nyuma, automatically unakuwa legally responsible regardless ya what dereva wa mbele did, kwa sababu sheria ziko clear kwamba kuna distance unatakiwa dereva wa nyuma ku-maintain,

- meaning kwamba ukifuata sheria ya hiyo following distance basi hutakuwa na tatizo incase dereva wa mbele akifanya anthing unusual kwa sababu una nafasi ya kutosha kumanouver to the safety, sasa sina uhakika sana na sheria zetu za bongo, lakini ingekuwa nyc hakuna hata haja ya uchunguzi hapa dereva wa nyuma ni liable wa hii accident, kwa sababu ya kosa wanaloita aggressive driving.

Ahsante.

william.

good comment mkubwa.....hapa bongo haifuatiliwi kabisa.......distance kati ya gari na gari ni masikitiko......wabongo tukiwa kwenye mgari tuna haraka..........lakini maendeleo yetu haya-reflect haraka zetu hata kidogo
 
good comment mkubwa.....hapa bongo haifuatiliwi kabisa.......distance kati ya gari na gari ni masikitiko......wabongo tukiwa kwenye mgari tuna haraka..........lakini maendeleo yetu haya-reflect haraka zetu hata kidogo

- Ahsante mkuu tunajaribu kuelimishana, binafsi ninamiliki leseni ya class A ya NYC US, kwa sheria za US ninaitwa Professional Driver, kwa hiyo mimi nikipatwa na ajali kisheria za US, ninakuwa responsible kwa 100%, regardless ya what dereva mwingine did kwa sababu ninatakiwa kujua better as a Professional Driver, ndio maana hata hiyo leseni ni kazi sana kuipata.

-that is why nina a glimpse na mambo ya uendeshaji na ajali, lakini sio kwamba ninajua kila kitu on the subject, lakini professionally nimewahi kuendesha nchi zima ya US na kupitia karibu kila mji wa kila State.

Ahsante.

William.
 
Lakini kweli angeamua kutoreport police nani angejua kuwa ni yeye muhishiwa oh sorry muheshimiwa ndie amegonga? Au kulikuwa na mashahidi usiku huo?
 
- Hapana kukimbia a scene of accident inatakiwa kuwa kosa kubwa sana kuliko hata la kugonga, hilo kosa peke yake linatakiwa kumpeleka jela kabla ya ku-sort out mengine baadaye.

FMES!

Nakubaliana na wewe mkuu. Sijui kwanini alikimbia kwanza home, labda alikimbia akashtuliwa : Mzee kuna mdaku kaona gari yako na ana namba bora wahi tu mwenyewe!
 
Kama huyu mheshimiwa aliogopa mob justice basi angekwenda polisi usiku ule ule sio anakwenda nyumbani kwake analala halafu asubuhi ndio anakwenda polisi. Hapa kuna dalili zote za dharau na kiburi lakini kwa huyu Bwana ni kawaida yake. Ni jeuri hiyo.

Lakini kama wachangiaji wengine walivyosema, tutaelezwa dereva wa bajaj ndiye mwenye makosa kwani alisimama katikati ya barabara ghafla. Whatever, the case, kwa kuwa AC alikuwa nyuma ya hiyo bajaj na ameigonga, anayo kesi ya kujibu.

Mwenye taarifa kamili atwambie je AC alishiriki kwa vyote vyote vile kujaribu kuokoa maisha ya marehemu baada ya kuwa amewagonga?

Tiba
 
Back
Top Bottom