Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 832
Somo muhimu wakati unajifunza kuendesha gari: 'be careful of pedestrians and other traffic'!
Chenge ameendesha gari lake at the very high speed kwenye residential area na si kwenye high speeding lane!
Chenge (akiwa anajua) anaendesha gari ambalo insurance yake ime expire pamoja na road insure pia.
Chenge anagonga na kuua (MUNGU ALAZE MAHALA PEMA ROHO ZA MAREHEMU) lakini hajisalimishi kwenye vyombo vya usalama.
Cha kushangaza sasa KOVA AMEUNDA TUME KUCHUNGUZA AJALI BADALA YA KUFUATA NJIA YA KAWAIDA YA KUPELEKA KESI MAHAKAMNI!\
CHENGE NI NANI NCHI HII JAMANI....
Chenge ameendesha gari lake at the very high speed kwenye residential area na si kwenye high speeding lane!
Chenge (akiwa anajua) anaendesha gari ambalo insurance yake ime expire pamoja na road insure pia.
Chenge anagonga na kuua (MUNGU ALAZE MAHALA PEMA ROHO ZA MAREHEMU) lakini hajisalimishi kwenye vyombo vya usalama.
Cha kushangaza sasa KOVA AMEUNDA TUME KUCHUNGUZA AJALI BADALA YA KUFUATA NJIA YA KAWAIDA YA KUPELEKA KESI MAHAKAMNI!\
CHENGE NI NANI NCHI HII JAMANI....