Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

Chenge ashikiliwa polisi kwa ajali ya gari iliyosababisha vifo

chege-3103.jpg

Machi 2009, Mbunge wa Bariadi Magharibu, Andrew Chenge akikimbia kuingia katika gari aina ya Haria T362ASP baada ya kutolewa mlango wa nyuma na kuwakwepa wapigapicha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Dar es Salaam alipofikishwa kusomewa shitaka lake la ajali barabarani na kusababisha vifo vya watu.
2.JPG


Gari la Chenge lililohusika katika ajali hiyo.

3.JPG


Bajaji iliyogongwa na Chenge na kuua mabinti waili waaliokuwemo.
Baada ya kuua Mh. Chenge mwaka 2010 alikuja kuchaguliwa kuwa Mbunge kupitia CCM baada ya kupigiwa kampeni ya nguvu na First Lady, Salma Kikwete na baadaye kuteuliwa na Raisi Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Waziri.

Nyadhifa nyingine alizokuja kutunukiwa vijisenti ni pamoja na kuongoza kamati ya maadili ya chama, Mwenyekiti wa Kamati ya Budget Bungeni, na baadaye Mwenyekiti wa Kamati ya kuandika Katiba mpya. Kwa sasa ni nyoka mwenye makengeza anayejua kutafuta hela.​
Wengi wenu hamujui ukweli wa hii kesi

Aliyewagonga wale mabinti ni Mke wa Chenge na wala sio Chenge mwenyewe..

Chenge aliamua kuibeba hii kesi ili kumuokoa mke wake asiende na maji... Kumbuka mke wa Chenge aliwakuta hawa mabinti wanalewa na Chenge,ndipo wakachukua Bajaji haraka ili waondoke eneo la tukio, mke wa Chenge akawa anawakimbiza kwa nyuma na Toyota Hilux, si akawabutua kwa nyuma wakafa!
 
Wengi wenu hamujui ukweli wa hii kesi

Aliyewagonga wale mabinti ni Mke wa Chenge na wala sio Chenge mwenyewe..

Chenge aliamua kuibeba hii kesi ili kumuokoa mke wake asiende na maji... Kumbuka mke wa Chenge aliwakuta hawa mabinti wanalewa na Chenge,ndipo wakachukua Bajaji haraka ili waondoke eneo la tukio, mke wa Chenge akawa anawakimbiza kwa nyuma na Toyota Hilux, si akawabutua kwa nyuma wakafa!
Naaam, naaaam ndio maana kwenye Ile thread ya Nasra wa UDOM niliuliza kuwa huenda ikawa Yale ya Vicky wa Chenge
 
Una uhakika ulimjua Kama yeye binafsi alivyojijua na Mungu wake alivyomjua. Dunia ni ya ajabu sana. Mtu akijiaminisha jambo, atatoa sifa tu na the vice versa is also true.

A better place is not a reward for those we like, it’s a place for those who deserve it. We do not know them. BUT HOPE stirbt zuletzt.
Saanane had a slow and painful death thus we believe he had ample time to plead with God upon imminent death.

RIP Saanane, aliyekumaliza naye amekufuata maana alidhani ataishi milele.
 
Wana JF -- kuna habari kwamba yule Bwana wa Vijisenti, Andrew Chenge anashikiliwa na polisi kituo cha Oysterbay kwa kuua watu wawili kwa kugonga Bajaj. Habari zaidi bado hazijapatikana. Tafadhali fuatilieni habari hizi.

View attachment 525054
Gari la Chenge lililosababisha ajali

View attachment 525053
Bajaj iliyongongwa na Chenge na kusababisha vifo
RPC, RTO, DTO walipiga hela ya maana hapa.

Hata pale Dom hii ajali ya juzi naamini nao wamepiga heka ya maana, maana kuficha kifo cha bint wa 'yudom' mh!


Wamesuka suka story eti alionekana tarehe 27 chuoni, tarehe 3 maiti yake ikasafirishwa kutoka moshi kwenda singida😅, ko Ili kuficha hajafia dom mkaamua muipeleke maiti Himo kwenye kile kihospital cha Faraja Huruma kwa Dr Minja? Shame on U naibu wazir!
 
Wengi wenu hamujui ukweli wa hii kesi

Aliyewagonga wale mabinti ni Mke wa Chenge na wala sio Chenge mwenyewe..

Chenge aliamua kuibeba hii kesi ili kumuokoa mke wake asiende na maji... Kumbuka mke wa Chenge aliwakuta hawa mabinti wanalewa na Chenge,ndipo wakachukua Bajaji haraka ili waondoke eneo la tukio, mke wa Chenge akawa anawakimbiza kwa nyuma na Toyota Hilux, si akawabutua kwa nyuma wakafa!
Kuna watu makatili sana. Kuna mwenye picha ya huyo mama katili?
 
Wengi wenu hamujui ukweli wa hii kesi

Aliyewagonga wale mabinti ni Mke wa Chenge na wala sio Chenge mwenyewe..

Chenge aliamua kuibeba hii kesi ili kumuokoa mke wake asiende na maji... Kumbuka mke wa Chenge aliwakuta hawa mabinti wanalewa na Chenge,ndipo wakachukua Bajaji haraka ili waondoke eneo la tukio, mke wa Chenge akawa anawakimbiza kwa nyuma na Toyota Hilux, si akawabutua kwa nyuma wakafa!
Huyo mwanamke alikuwa ni mpuuzi sana, ndio aue watu kwa kosa la mumewe?
 
Unategemea nini?

Nchi haina Uongozi.

Viongozi wote wanaogopana. Wote wanamaovu. ...

Hakuna wa kusimama na kukemea. Anaogopa watarudisha majibu!

SO?

Kila mtu ni kiongozi.

Polisi anasimama popote anaua!

Kila mtu ni mwana siasa...atafanya anachofanya..atafanywa nini? Kwani wao wamefanywa nini?

Kila mtu anaita vyombo vya habari ...anabwabwajika ..iwe hovyo au with sense. Kila mtu ni kiongozi...Tena ajiona wa kutukuka!!

Kila mtu ni kiongozi na kila mtu anaweza kuchukua sheria na kuitumia anvyotaka.Hakuna kkiogozi mwanye ujasiri wa Ukweli na haki..

Mkuu wa wilaya....Mwalimu mkuuu...Balozi....Kibaka....All is just hopelesss!!

Kwanini Chenge asifanye alivyofanya? Haswa Chenge? why not?

Ujeuri unaonyeshwa na wengine umefanyiwa nini? Kwani yeye hana jeuri? Kwani jeuri ya Kagoda imefanywa nini? Kwani jeuri ya mitambo ya umeme etc imefanywa nini?

Kwani yeye hana jeuri? Just shoot!!!!

Nchi imekuwa ya kuchezewa na kila mtu sasa!!!

Ni mpaka Viongozi watakapo ondoa DHIHAKA na USWAHIBA na kufanya kazi tuliyowapa ...ndipo tanzania itarudi kwenye mstari...vinginevyo....?...Unaweza kubunia!!!
 
Back
Top Bottom