Cheo kimoja kati ya Waziri Mkuu au Makamu wa Rais kifutwe

Cheo kimoja kati ya Waziri Mkuu au Makamu wa Rais kifutwe

Sijui hata kwanini tulivyotoka kwenye makamu wa rais wawili (mmojawapo anakua pia waziri mkuu) enzi za kina malechela tukamtenganisha Rais wa zanzibar na kutenganisha makamu wa rais na uwaziri mkuu??

Cc Pohamba JokaKuu
Ni moja ya upuuzi tuliobambikiziwa na Nyerere.
 
Rais atafanya kazi gani!
Huyo anabaki kuwa head of state na amiri jeshi mkuu........kama rais atajishughulisha na utendaji wa kila siku wa serikali maana yake ni kwamba cheo cha waziri mkuu hakiko relevant, umenielewa?
 
Nimeisoma na haina hayo unayosema, siku nyingine usiongee mambo usiyoelewa.
Rasimu ya tume ya Warioba ilipendekeza muundo wa serikali tatu. Serikali ya muungano, na serikali mbili za majimbo ya Tanganyika na Zanzibar.

Ni wapi pamekuwa pagumu kwako kuelewa!
 
Habari wandugu. Ukifuatilia nchi nyingi utaona kuwa zina mmoja, Waziri Mkuu au Makamu wa Rais na si wote.

Na nchi nyingi zenye mawaziri wakuu ni zile za kifalme, wakati Jamhuri nyingi zina Makamu wa Rais. Na zingine zikiongozwa na waziri mkuu pekee, Rais akiwa ni ceremonial tu.

Na hata ukiangalia kiutendaji utaona kuwa makamu wa Rais huwa yupoyupo tu, haeleweki anafanya nini.

Ni wakati sasa tufute cheo kimoja, cha wazicha Waziri Mkuu au Makamu wa Rais.
Makamu wa Rais anapwaya!
 
Katiba mpya ni muhimu kuliko kitu chochote kwa sasa.

Tunatawaliwa na mtu asiyeijua bara kabisa kisa katiba
Habari wandugu. Ukifuatilia nchi nyingi utaona kuwa zina mmoja, Waziri Mkuu au Makamu wa Rais na si wote.

Na nchi nyingi zenye mawaziri wakuu ni zile za kifalme, wakati Jamhuri nyingi zina Makamu wa Rais. Na zingine zikiongozwa na waziri mkuu pekee, Rais akiwa ni ceremonial tu.

Na hata ukiangalia kiutendaji utaona kuwa makamu wa Rais huwa yupoyupo tu, haeleweki anafanya nini.

Ni wakati sasa tufute cheo kimoja, cha wazicha Waziri Mkuu au Makamu wa Rais.
 
Back
Top Bottom