Chepuka kwa akili...

Chepuka kwa akili...

Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
Hii ni kweli kabisa, mpenzi wangu alikua anasoma mzumbe mimi npo dar sasa kumbe kule akachepuka na nilishtukia kias fulani kipind natafakari kuchukua hatu kumbe yule mchepuko nae hakujua kama yeye ni mchepuko so nayeye akahisi anasalitiwa sasa siku yupo nae akachukua namba yangu kwenye simu yake kwa kuiba baada ya mda yule mchepuko akantafuta, mshkaji dizain kama tulikua tunafanana tabia hivi basi tukayamaliza then tukawa marafiki kabisa na tukampiga chini demu na jamaa akaja dar kunitembelea ( hii kwa ugomvi na uadui hutokea kwa mchepuko anaetembea na mke wa mtu ila kwenye level za uchumba wanaume hatunaga uadui kabisa)
 
Hii ni kweli kabisa, mpenzi wangu alikua anasoma mzumbe mimi npo dar sasa kumbe kule akachepuka na nilishtukia kias fulani kipind natafakari kuchukua hatu kumbe yule mchepuko nae hakujua kama yeye ni mchepuko so nayeye akahisi anasalitiwa sasa siku yupo nae akachukua namba yangu kwenye simu yake kwa kuiba baada ya mda yule mchepuko akantafuta, mshkaji dizain kama tulikua tunafanana tabia hivi basi tukayamaliza then tukawa marafiki kabisa na tukampiga chini demu na jamaa akaja dar kunitembelea ( hii kwa ugomvi na uadui hutokea kwa mchepuko anaetembea na mke wa mtu ila kwenye level za uchumba wanaume hatunaga uadui kabisa)
Mlimpiga chini sio kwamba mlikuwa mnaendelea nae huku mko marafiki. That's different
 
Hapana maana yule msichana alimchukulia mshkaji kama mchepuko so akamkataa katakata na kutaka kuja upande wangu bahati mbaya mimi suala la usaliti huwa sinaga msamaha kabisa kama nikithibisha na huwa namwambia kabisa mwanamke tukianza uhusiano.
Mlimpiga chini sio kwamba mlikuwa mnaendelea nae huku mko marafiki. That's different
 
Good morning.....

Angalizo: soma bila jazba inaweza kukukera, ukimaliza mcheki mkeo msonye kupunguza hasira.

Wataalamu wa mambo ya mahusiano wanasema mapenzi kwa mwanaume ni moja kati ya vitu, ila kwa mwanamke mapenzi ni kila kitu, yani kwa mwanamke mapenzi ni maisha. Ndio maana mwanamke unaweza kumkera basi asikupikie, asifanye chochote yani hapo kila kitu kipo connected na hayo mapenzi tofauti na mwanaume. Mwanaume unaweza kuwa na wanawake kadhaa na wanajuana na maisha yanaendelea ila kitendo cha kujua mwanamke wako kuna mtu anasimamia kucha ni pigo sana na usipokua imara unaweza rudi kwa muumba kizembe kizembe.

Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma, iwe analiwa mwanaume au analiwa mwanamke inauma, japo wanaume mnajitoaga tu ufahamu mnajikuta mliumbwa na kibali cha kupiga yani nyie mpige tu mkipigiwa inakupa tabu. Cha ajabu ukute umeoa kabisa unajua uchungu wa mke na unaenda kupiga wake za wenzio tena unawapenda ndio mambo yako yani ila eti wako hautaki aguswe hihihihi nacheka kisukuma brother hebu kuwa serious kidogo!!!

Mwanaume anachepuka kwa tamaa tu yani kifupi hana madhara kiiivo tukiachana na wivu wivu tu hana madhara makubwa, labda kuchunwa chunwa tu na vitu vya hapa na pale, ila sasa tukija kwetu viumbe wa kike watu ambao mioyo yetu inashape ya kopa, kopa ndio na mioyo wanaume ina shape ya korosho (tusibishane katika hili 😁) mwanamke kuchepuka ni hatari kuchepuka sio tu tamaa kuchepuka ni mapenzi tena mapenzi mazito, mahaba ya dhati kabisa, we don't offer mabao tu bali tunajitoa sana hadi hisia tunaweka rehani, yani kuchepuka ni kufall in love kabisa unampa mtu moyo na hisia (micheps msizingue jamani mtatuua) na hapa ndiyo hatari ilipo mwanamke usipohusisha akili nyumba itasambaratika, utaanza kama masihara tu mara unajikuta mme unamuona kama zombie huko kwenye ateri na aota kajaa mchepuko, mchepuke kwa makini na kwa akili jamani

Evelyn Salt (fisi jike)
Maendeleo hayana chama endeleeni kumuombea.
 
aiseeee.....huwa napenda sana kusikiliza wanawake.....hii nimeipenda...asante (lady hyena)
 
Good morning.....

Angalizo: soma bila jazba inaweza kukukera, ukimaliza mcheki mkeo msonye kupunguza hasira.

Wataalamu wa mambo ya mahusiano wanasema mapenzi kwa mwanaume ni moja kati ya vitu, ila kwa mwanamke mapenzi ni kila kitu, yani kwa mwanamke mapenzi ni maisha. Ndio maana mwanamke unaweza kumkera basi asikupikie, asifanye chochote yani hapo kila kitu kipo connected na hayo mapenzi tofauti na mwanaume. Mwanaume unaweza kuwa na wanawake kadhaa na wanajuana na maisha yanaendelea ila kitendo cha kujua mwanamke wako kuna mtu anasimamia kucha ni pigo sana na usipokua imara unaweza rudi kwa muumba kizembe kizembe.

Bwana kujua mali zako zinaliwa inauma, iwe analiwa mwanaume au analiwa mwanamke inauma, japo wanaume mnajitoaga tu ufahamu mnajikuta mliumbwa na kibali cha kupiga yani nyie mpige tu mkipigiwa inakupa tabu. Cha ajabu ukute umeoa kabisa unajua uchungu wa mke na unaenda kupiga wake za wenzio tena unawapenda ndio mambo yako yani ila eti wako hautaki aguswe hihihihi nacheka kisukuma brother hebu kuwa serious kidogo!!!

Mwanaume anachepuka kwa tamaa tu yani kifupi hana madhara kiiivo tukiachana na wivu wivu tu hana madhara makubwa, labda kuchunwa chunwa tu na vitu vya hapa na pale, ila sasa tukija kwetu viumbe wa kike watu ambao mioyo yetu inashape ya kopa, kopa ndio na mioyo wanaume ina shape ya korosho (tusibishane katika hili [emoji16]) mwanamke kuchepuka ni hatari kuchepuka sio tu tamaa kuchepuka ni mapenzi tena mapenzi mazito, mahaba ya dhati kabisa, we don't offer mabao tu bali tunajitoa sana hadi hisia tunaweka rehani, yani kuchepuka ni kufall in love kabisa unampa mtu moyo na hisia (micheps msizingue jamani mtatuua) na hapa ndiyo hatari ilipo mwanamke usipohusisha akili nyumba itasambaratika, utaanza kama masihara tu mara unajikuta mme unamuona kama zombie huko kwenye ateri na aota kajaa mchepuko, mchepuke kwa makini na kwa akili jamani

Evelyn Salt (fisi jike)
Like ulizopata ni tishio kwa usalama wa ndoa za wengi. Fisi jike washauri hao wadogo zako watulie kwenye ndoa zao.
Siku ya kwanza ulitumia kondom. Zinazofuata unajizira kisa aota na vains and capilaries are full of mchepuko.
Tutaangamiza watoto wetu.
Please, acha kuchepuka.
 
Like ulizopata ni tishio kwa usalama wa ndoa za wengi. Fisi jike washauri hao wadogo zako watulie kwenye ndoa zao.
Siku ya kwanza ulitumia kondom. Zinazofuata unajizira kisa aota na vains and capilaries are full of mchepuko.
Tutaangamiza watoto wetu.
Please, acha kuchepuka.
Hahaha tuwe tu makini kwakweli
 
Ndoani kuna raha za kukata na shoka, hivi vingine ni vijambo vidogo vidogo sana
Vinagongana vikombe itakua sie waja?!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo madogo tu haya yanamtisha ya nini? Kwani wanaondoka nazo?
 
Wazee wa kuchepuka!
africanwildlifefoundation_Byuskx0DyeF.jpeg
 
Back
Top Bottom