Chepuka kwa akili...

[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Yaani hadi R imekushinda leo matumizi yake[emoji134][emoji134]
Hatuivurugi, mkituvuruga tunatafuta faraja tu na kurudi nyumbani. Hapo shida iko wapi jamani?
 
Kwani huwa mkichepuka mnajidhalilisha?
Kwa Ke mnajidhalilisha hata ukikataa ni vile upo nyuma ya kibody tu.
Nnahakika mwanao wa kike utakua makini nae kuliko wa kiume wakifikia barehe
 
Kwa Ke mnajidhalilisha hata ukikataa ni vile upo nyuma ya kibody tu.
Nnahakika mwanao wa kike utakua makini nae kuliko wa kiume wakifikia barehe
Siku hizi tunahangaika na wa kiume zaidi maana ndio malezi uao yamekuwa magumu.

Hatujidhalilishi, tunatafuta kile kile mnachotafutaga nyie. Na tunarudi wepesiiiii kiakili na kimwili kuliendeleza gurudumu la familia. Hapo shida iko wapi?
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Yaani hadi R imekushinda leo matumizi yake[emoji134][emoji134]
Hatuivurugi, mkituvuruga tunatafuta faraja tu na kurudi nyumbani. Hapo shida iko wapi jamani?
Wengine tunaviswahili vya lugha zetu lisikusumbue sana.

Kwa udhaifu wenu mnajisahau matokeo mnatemwa kundi la wadangaji linaongezeka wanao tarajia kuoa wanashudia kaka alivyo acha juzi anaghaili kwa maana nyapu zinaelea tu zikidanga nyingine ndo hizo faraja kumbe inapatikana kwa kugongwa nje ya ndoa aoe ili agundue nini?
 
Mwanamke kama maji babuu usipokunywa utachambia, usinisahau kadi ya harusi kama hujampata bi harusi sema nikupe mtoto mmoja wife material ako na bikra hadi sekunde hii naandika hapa
 
Ni kweli kwa wakiume imekua mtihani myaka hii ila akifikia balehe itakua kesha jitambua hiyoo utachunga yupi?
Siku hizi tunahangaika na wa kiume zaidi maana ndio malezi uao yamekuwa magumu.

Hatujidhalilishi, tunatafuta kile kile mnachotafutaga nyie. Na tunarudi wepesiiiii kiakili na kimwili kuliendeleza gurudumu la familia. Hapo shida iko wapi?
 
Mwanamke kama maji babuu usipokunywa utachambia, usinisahau kadi ya harusi kama hujampata bi harusi sema nikupe mtoto mmoja wife material ako na bikra hadi sekunde hii naandika hapa
Hafu siku kataka gauni pesa haitoshi umpeleke kwa baba kale akapewe eti?

Tuta wagonga tu nakuambia hata nafasi ya kufua nguo hampewi nyie ni miti tu hafu mapema sana asubuhi kwenu au kwako nani aoe wadangaji?
 
Kwa Ke mnajidhalilisha hata ukikataa ni vile upo nyuma ya kibody tu.
Nnahakika mwanao wa kike utakua makini nae kuliko wa kiume wakifikia barehe
Wait man!!!!!! Mwanamke akichepuka anajidhalilisha????
Kwani wale mnaokula nyie huwa ni wanaume wenzenu? It takes two to tango bro, maisha ndio haya haya
 
Mjadala mzuri kweli huu manengelo kwanini hukuniita!!

Sasa ni hivi ni kweli tukichepuka hisia na mapenzi yote tunahamisha lakini tunachepuka kwasababu!!!

Ukiona wife anachepuka jua wewe mume ndiye sababu ya mkeo kuchepuka tofauti na nyie mnaochepuka ovyo km mbwa wa majalalani ndo maana upendo kwa wake zenu hubaki palepale

Mnatufananisha na mabibi zenu na mama zenu!!! Hahahahaha nicheke kihutu mie tofauti ya wao na sie ni mawigi na technology ya kimtandao tu lakini walizaa sana nje pengine kuliko sie

Kwa sasa wastani ya idadi ya watoto ni 4 ukipigwa sana ni watoto 2 au 1 ndo sio wako mwanaume lkn zamani wastani ilikuwa watoto 9 wa ndani 3, na wanaosalia wana baba zao wengine

Kuweni wavumilivu kama babu na baba zenu acheni kelele mkianzisha sie tunamalizia ukijitia mgumu katani zinauzwa bei chee
 



πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚my ribs..hahahhaha...uwiii..yelewiiii..huyu nd kapeace!eti mambwa ya jalalaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..kwakweli hatuchepuki bilasababu...!unaridhishwa kila kitu na mumeo unapata unaanzaj kutoka outside the countryπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..ngumu sana..
 
Ngumu mno mwanamke kutanua miguu nje hivi hivi bila sababu labda awe ni kurumbembe tu

Na mara nyingi sababu huwa imevumiliwa mpaka mwisho
 
Wait man!!!!!! Mwanamke akichepuka anajidhalilisha????
Kwani wale mnaokula nyie huwa ni wanaume wenzenu? It takes two to tango bro, maisha ndio haya haya
Migume gume ndo inaona si udhalili mwanamke kuuu to...mbesha anaitwa MALAYA TU hata ukilazimisha iwe sawa na me uasili utabaki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…