Chepuka kwa akili...

Bora kuvurugwa nyumbani sio na mchepuko jamani, mchepuko akikuvuruga unahisi umevurugwa na dunia nzima mi ndo maana huwa nawasisitiza micheps msizingue mtatuua sweethearts teh



ahahhqhahhq sikuiona hii.hahhqhqa....!ngj nikae kimyq hahaa unaweza pata Asazi hivi hviii
 
Mwanamke kama maji babuu usipokunywa utachambia, usinisahau kadi ya harusi kama hujampata bi harusi sema nikupe mtoto mmoja wife material ako na bikra hadi sekunde hii naandika hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatutemwi, tuko makini sana tunachepuka kwa heshima.

Ndoa kila siku zinafungwa, we unaeogopa endelea kuogopa.
 
Hafu siku kataka gauni pesa haitoshi umpeleke kwa baba kale akapewe eti?

Tuta wagonga tu nakuambia hata nafasi ya kufua nguo hampewi nyie ni miti tu hafu mapema sana asubuhi kwenu au kwako nani aoe wadangaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usopate taabu, tunachepuka kwa heshima kwahiyo punguza jazba kijana.
 
Wanajifanya wana wivu sana wakati babu zao walikuwa na adabu, akirudi anaimba kwa sautiii ili aliepo aondoke kabla hajafika.

Jando inapaswa irudi kwa hakika.
 
Najalibu kuwaza kama mimi ndo ningekua mme wake...... Any way yanaumiza sana
 
Mkuu umenena
Before sina kazi ya kueleweka mapenzi yalinisumbua sana
Sio leo
Yan hata dem afanye ujinga wake sina hata chembe
Daily nawaza jinsi gani account yangu ijae mapene wazazi wangu wananibariki nikiwasaidia pesa basi imekwisha
 

Ni kweli, Ila wanaume kuwa na michepuko huwa ni tamaa tu ya muda, wanawapenda wake zao ndo maana wanaume huwa wanawaambia michepuko " mke wangu akijua tu mi na wewe tunaachana"
 
Haha haaa rijali hachungwi tena nafasi hiyo hutoipata utasubili kujibu kesi tu
Ajitambue akifika balehe!!!!
Unaongelea wa nchi gani? Tunawachunga hadi muoe, lasivyo hamuaminiki.
Bola uwe mlalamikiwa kuliko uwe mlalamikaji.nakushangaeni sana mnapokataa uasilia.

Sijasikia mvulana kufukuzwa kwao eti kampa binti mimba.
Ni mabinti wengi tu hufukuzwa makwao kwa kupewa mimba.
Ni udhalili kugongwa kabla ya ndoa ni udhalili kugongwa nje ya ndoa na ndoomana wake za watu ndo wanaongoza kuliwa tako
 
Umekula tako za wangapi?

Usijali tunachepuka kwa akili na kwa heshima. Msipate taabu kabisaaaaaa. Tukinogewa sio kosa letu muwalaumu michepuko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usopate taabu, tunachepuka kwa heshima kwahiyo punguza jazba kijana.
Wanaochepuka kwa heshima hajulikani hata ila nyiee mnao jisifu lazima mlete zarau nyumbani hapo talaka itakuhusu
 
Ndoani kuna raha za kukata na shoka, hivi vingine ni vijambo vidogo vidogo sana
Vinagongana vikombe itakua sie waja?!!!
Kuna ule msemo unasema bora ukosee kujenga utabomoa nyumba kuliko ukosee kuoa au kuolewa, unaweza kuuelezeaje huu msemo? na kukosea kuoa au kuolewa mtu unakosea vipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnataka raha mpate nyie tu!! Aiii wewe hebu acha roho mbaya. Acha raha tupate wote jamani.
Sasa kama mtu hakupi raha si unamchana akuache ukapate raha?
Ukiwa mtaka vyote utakua malaya tu si vinginevyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…