Ajitambue akifika balehe!!!!Ni kweli kwa wakiume imekua mtihani myaka hii ila akifikia balehe itakua kesha jitambua hiyoo utachunga yupi?
Bora kuvurugwa nyumbani sio na mchepuko jamani, mchepuko akikuvuruga unahisi umevurugwa na dunia nzima mi ndo maana huwa nawasisitiza micheps msizingue mtatuua sweethearts teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke kama maji babuu usipokunywa utachambia, usinisahau kadi ya harusi kama hujampata bi harusi sema nikupe mtoto mmoja wife material ako na bikra hadi sekunde hii naandika hapa
Furiii kabisa, washindwe wenyewe.Eeh wao waoe tu; entertainer nipo hapa for furiiii
Hatutemwi, tuko makini sana tunachepuka kwa heshima.Wengine tunaviswahili vya lugha zetu lisikusumbue sana.
Kwa udhaifu wenu mnajisahau matokeo mnatemwa kundi la wadangaji linaongezeka wanao tarajia kuoa wanashudia kaka alivyo acha juzi anaghaili kwa maana nyapu zinaelea tu zikidanga nyingine ndo hizo faraja kumbe inapatikana kwa kugongwa nje ya ndoa aoe ili agundue nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hafu siku kataka gauni pesa haitoshi umpeleke kwa baba kale akapewe eti?
Tuta wagonga tu nakuambia hata nafasi ya kufua nguo hampewi nyie ni miti tu hafu mapema sana asubuhi kwenu au kwako nani aoe wadangaji?
Haha haaa ukitokea kwako lakini unakuja kugongwa tu mchezo ukiisha unafukuzwa tuHivi ukimgonga mtu unamkomesha???? Mi napenda kugongwa jamani napenda kukomeshwa sanaaaa
Wanajifanya wana wivu sana wakati babu zao walikuwa na adabu, akirudi anaimba kwa sautiii ili aliepo aondoke kabla hajafika.Mjadala mzuri kweli huu manengelo kwanini hukuniita!!
Sasa ni hivi ni kweli tukichepuka hisia na mapenzi yote tunahamisha lakini tunachepuka kwasababu!!!
Ukiona wife anachepuka jua wewe mume ndiye sababu ya mkeo kuchepuka tofauti na nyie mnaochepuka ovyo km mbwa wa majalalani ndo maana upendo kwa wake zenu hubaki palepale
Mnatufananisha na mabibi zenu na mama zenu!!! Hahahahaha nicheke kihutu mie tofauti ya wao na sie ni mawigi na technology ya kimtandao tu lakini walizaa sana nje pengine kuliko sie
Kwa sasa wastani ya idadi ya watoto ni 4 ukipigwa sana ni watoto 2 au 1 ndo sio wako mwanaume lkn zamani wastani ilikuwa watoto 9 wa ndani 3, na wanaosalia wana baba zao wengine
Kuweni wavumilivu kama babu na baba zenu acheni kelele mkianzisha sie tunamalizia ukijitia mgumu katani zinauzwa bei chee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Migume gume ndo inaona si udhalili mwanamke kuuu to...mbesha anaitwa MALAYA TU hata ukilazimisha iwe sawa na me uasili utabaki tu
Aaah sasa uchoyo gani huu hata shetani hapendi.Yaani ww hahahah
Najalibu kuwaza kama mimi ndo ningekua mme wake...... Any way yanaumiza sanaUlichokiongea ni sahihi kabisa naunga mkono hoja yako kwa kutoa Ushahidi huu
Mimi nlikua na mchepuko wangu ambae ni mwanzo hakua ameolewa lakin badae alikuja kuolewa na aliniomba ruksa ya kuolewa mi nikamkubalia, tuliendelea na mapenz yetu lakin kadri muda ulivozid kwenda mapenzi yang na uyu mchepuko(mke wa mtu kwa sasa) yalizidi kunoga
Ikafika pahala akanambia anafurai zaid kua na mim kuliko kua na mme wake, akaniomba ikiwezekana afanye mpango aachane na mme wake arudi kwangu nimuoe awe mke wa pili(anajua kua nmeoa na yupo tayari kuacha ndoa yake aje kwangu awe mke wa pili)
Ushuhuda huu unadhihiridha wazi kua wanawake wakipenda wanapenda kweli na mke wako akiwa na mchepuko tu basi hesabu maumivu kwa maana anaweza kuzama mazima
Kuhitimisha tu; kabla sijamjibu kua nitamuoa au lah(dini hairuhusu kuoa wake wawili) tayari ameshalikoroga kwa mme wake na amenambia kua anaachika kwa mme wake kwa ajili yangu plz nisimuumize akajutia maamuzi yake
Hatufukuzwi, tunabembelezwa, tunapetiwa petiwa, yes tunapewa kitu roho inapenda. Tukirudi nyumbani wepesiiii, tuanawapikia na kuwaheshimu.Haha haaa ukitokea kwako lakini unakuja kugongwa tu mchezo ukiisha unafukuzwa tu
Mkuu umenenaMimi hapo ndio napochoka. Mtu ndoa imemshinda na kuugulia maumivu ya karibia kufa ila ndio wa kwanza kusisistiza ndugu zake waoe au waolewe. Sasa ndoa ya nini kama hujamaliza uzinzi wako, Ngoja niwekeze katika dollars maana haiwezi kunikataa wala kunisaliti
Kama mwanamke atachepuka seriuos na mchepuko wake yaan akampenda kwa dhat basi wew mwanaume siku zako za kuishi hapa duniani haziwez kuzid mwaka mmoja kama utaendelea kuishi nae nyumba moja.
Kwa muda anamuona mchepuko ni kila kitu na anaeleta kikwazo ni wew mume.
Bola uwe mlalamikiwa kuliko uwe mlalamikaji.nakushangaeni sana mnapokataa uasilia.Ajitambue akifika balehe!!!!
Unaongelea wa nchi gani? Tunawachunga hadi muoe, lasivyo hamuaminiki.
Umekula tako za wangapi?Haha haaa rijali hachungwi tena nafasi hiyo hutoipata utasubili kujibu kesi tuBola uwe mlalamikiwa kuliko uwe mlalamikaji.nakushangaeni sana mnapokataa uasilia.
Sijasikia mvulana kufukuzwa kwao eti kampa binti mimba.
Ni mabinti wengi tu hufukuzwa makwao kwa kupewa mimba.
Ni udhalili kugongwa kabla ya ndoa ni udhalili kugongwa nje ya ndoa na ndoomana wake za watu ndo wanaongoza kuliwa tako
Wanaochepuka kwa heshima hajulikani hata ila nyiee mnao jisifu lazima mlete zarau nyumbani hapo talaka itakuhusu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usopate taabu, tunachepuka kwa heshima kwahiyo punguza jazba kijana.
Kuna ule msemo unasema bora ukosee kujenga utabomoa nyumba kuliko ukosee kuoa au kuolewa, unaweza kuuelezeaje huu msemo? na kukosea kuoa au kuolewa mtu unakosea vipi?Ndoani kuna raha za kukata na shoka, hivi vingine ni vijambo vidogo vidogo sana
Vinagongana vikombe itakua sie waja?!!!
Sasa kama mtu hakupi raha si unamchana akuache ukapate raha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnataka raha mpate nyie tu!! Aiii wewe hebu acha roho mbaya. Acha raha tupate wote jamani.