Mjadala mzuri kweli huu
manengelo kwanini hukuniita!!
Sasa ni hivi ni kweli tukichepuka hisia na mapenzi yote tunahamisha lakini tunachepuka kwasababu!!!
Ukiona wife anachepuka jua wewe mume ndiye sababu ya mkeo kuchepuka tofauti na nyie mnaochepuka ovyo km mbwa wa majalalani ndo maana upendo kwa wake zenu hubaki palepale
Mnatufananisha na mabibi zenu na mama zenu!!! Hahahahaha nicheke kihutu mie tofauti ya wao na sie ni mawigi na technology ya kimtandao tu lakini walizaa sana nje pengine kuliko sie
Kwa sasa wastani ya idadi ya watoto ni 4 ukipigwa sana ni watoto 2 au 1 ndo sio wako mwanaume lkn zamani wastani ilikuwa watoto 9 wa ndani 3, na wanaosalia wana baba zao wengine
Kuweni wavumilivu kama babu na baba zenu acheni kelele mkianzisha sie tunamalizia ukijitia mgumu katani zinauzwa bei chee