Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nyie waawake si mnadai mnapenda makashikashi matukio, hamtaki walokole kama wakina Ricardo Kaka.Ili iweje kwa mfano...
Nimejibu kama mwanamke anayesalitiwa na mumewe.
Hamjali anampiga na kumpiga matukio kama yote.
NB: Sio mimi 🤣🤣
Unafuu upo au ndo umekolea,Kwa huyu wa sasa ningechukua mkuu☺️
upo
unatoa mahali,unavuta mke maisha yanaendelea
Huyu niliye nae,nitamchagua hata afterlife😍
ndoa ndoano- unapewa cheti afu ndo unaenda shule kusomaKingekuwa kinatolewa baada ya miaka mitatu ya ndoa, ungekifuatilia?
Sijaoa, sijuiKingekuwa kinatolewa baada ya miaka mitatu ya ndoa, ungekifuatilia?