Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu.
Naomba kuuliza, wakati napita jkt mujibu wa Sheria walitupa vyet vya jkt lakini kwa bahati mbaya wakati wanatupa Mimi jina langu la mwisho katika majina matatu lilikosewa kipindi kilee, kutokana na Mambo mengi wakati natoka kambini nilishindwa kufuata taratibu kurekebisha jina la mwisho nikawa nimetoka hivo hivo jina limekosewa, haya mapuuza leo yananigharimu kwa kweli.
Sasa majina yangu kwenye vyet vyote, nida, form four, Chet cha kuzaliwa, form six viko sawa, hio ya jkt ndio tofauti tu...
Hivi wakuu naweza kufanyaje kurekebisha hiki Chet, Kuna muda nataka kuenda kurekebisha mwenyewe nakumbuka kuwa namba yangu ya jeshi AT 346..! Itakuwa na jina la awali.
Hapo nifanyeje wakuu.
Naomba kuuliza, wakati napita jkt mujibu wa Sheria walitupa vyet vya jkt lakini kwa bahati mbaya wakati wanatupa Mimi jina langu la mwisho katika majina matatu lilikosewa kipindi kilee, kutokana na Mambo mengi wakati natoka kambini nilishindwa kufuata taratibu kurekebisha jina la mwisho nikawa nimetoka hivo hivo jina limekosewa, haya mapuuza leo yananigharimu kwa kweli.
Sasa majina yangu kwenye vyet vyote, nida, form four, Chet cha kuzaliwa, form six viko sawa, hio ya jkt ndio tofauti tu...
Hivi wakuu naweza kufanyaje kurekebisha hiki Chet, Kuna muda nataka kuenda kurekebisha mwenyewe nakumbuka kuwa namba yangu ya jeshi AT 346..! Itakuwa na jina la awali.
Hapo nifanyeje wakuu.