Chibu Junior kakosa kick ya kutokea

Chibu Junior kakosa kick ya kutokea

Status
Not open for further replies.
nawatia joto eeheeee??wanaume watu wazima na kengele zenu mbili kupoteza nguvu kuongea na kubishana kwa msomjua ni kazi saana na yahitaji moyo sasa ww hunijui skujui na wala sijaku pm maisha yangu na jinsia yangu vinakuhusu nn wakati hatujuani kiumeni wala kikeni na wala sijaombamchango wa bando kwa nyie wanaume boxer jifunzeni kutafuta ela kuliko kukaa na kufatiliaa ya watu mishipa imewasimama kuwasema watu badala iwasimame mkiwa kitandani mxieeeeeeewkitandani mnaishia kuliaa na kutoa michozi nguvu mnapotezea mitandaoni kubishna na siyewajua
mtoto choko kabisa cheki mwandiko wake.
 
Mimi nadhani domo aliwaprove wrong mademu waliodai risasi zake povu.. Ndio maana hii sasa kawaida by the way king anao watatu sio issue
 
Tee kwenye 40 yake ndio alitangazwa rasmi ambassador Wa NMB na Msasani & Pugu shopping malls so kwa chibu junior ni mapema sana kujua
 
Halafu usisahau watu walikuwa na kiherere sana cha kumsubiria Tiffa ili waone ikiwa atakuwa na mdomo kama wa Chibu au Katunzi... taifa lina mambo hili!
Aisee nimecheka sana
Eti " taifa lina mambo hili" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nadhan wewe mleta uzi ndio unatafuta pa kutokea! Chibus hawawezi kutafuta kuni kama wapo msituni! Hivi kwanza acc yako ina sh ngapi? Xmas inakaribia fanya kazi uongeze kipato usikalie ya watu utaolewa!
 
Huyu aliyeandika huu uzi ni mwanaune [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
mtoto choko kabisa cheki mwandiko wake.
1c55151c8892ec903498eb379ea71e2a.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom