Duuu aibuPambana na hali yako ungekua na busara kipindi haswa kipindi zari anachezewa na diamond bafuni ungempa ushauri mtu mzima yule
She is jus 24 ujana maji ya moto!fancy baba ake anajielewa kila mtu na life lake looohhh!
Mlitaka azae na nani?hahahaaaaaaa
Ndo ashazaa na diamond na ndo ashafanya party
Mwanamke jeuri muibie mmewe
Duuu aibuPambana na hali yako ungekua na busara kipindi haswa kipindi zari anachezewa na diamond bafuni ungempa ushauri mtu mzima yule
She is jus 24 ujana maji ya moto!fancy baba ake anajielewa kila mtu na life lake looohhh!
Mlitaka azae na nani?hahahaaaaaaa
Ndo ashazaa na diamond na ndo ashafanya party
Mwanamke jeuri muibie mmewe
Umeona wangu hadi nimemchukia she is so selfish ,halafu hana kazi wala biashara anayofanya na shule alikimbia kule madenge TandikaHaamini kama ni kweli alipewa mimba na diamond
Diamond kinachomuumiza sana ni brand yake maana akikumbuka kilichomkuta baada ya kuachana na wema ndo icho kitakachomkuta pindi atako mdrop zari, lakin in reality hakuna kijana yyt anayeweza kivumilia kukaa na mwanamke aliyemzid umri kiasi icho na mitoto juu. Kwa navohisi domo itakuwa alikuwa kashaanza kutengeneza maisha mapya na hamissa kisiri siri ili baadaye hata ikija kuvuma iwe rahisi kumuacha zari sema ndo ivo mipango imevurugika kabla. To be honest hata mm siwezi kuvumilia kuishi na mwanamke anaelekea menopause wakati mm ndo dam mbich kabisa.Wanaume wa DAR. Awapendi mwanamke asiye Na pesa. Wengi ni Mario. Na baati nziri Diamond kidogo anazo. Lakini anampenda Zari sababu ya pesa. Nani atakwenda kwa mwanamke pesa hana. Na siku hizi mtindo wa kisasa ndio huo. Hamissa Mabeto akaye mbali sana. Pesa mamaa
Zari ana sex tape mitandaoni so sijui kipindi anachukua hii video busara alikuwa amemuacha wapi.?Busara za zari ni zipi?ulishamuona zari ama kusoma stori zake akiwa na umri kama wa Hamisa?
Ni wale wale,umri umeenda tu..
Hahahaha heshima kwako mkuuMi naona we ndo mshamba hapa biashara hii IPO mbali na we unawashwa washwa
Halafu mtu akitoka hapo aseme zari eti ana busara na akili hata wanaume wa humu mngeweza kuishi na mwanamke kama huyo tukinaoZari ana sex tape mitandaoni so sijui kipindi anachukua hii video busara alikuwa amemuacha wapi.?
Kamaliza form four Tandika secondary jamani looh!Umeona wangu hadi nimemchukia she is so selfish ,halafu hana kazi wala biashara anayofanya na shule alikimbia kule madenge Tandika
Fact kwa kweli na sex tape juu kwahili mond hawez laumiwa jmn sema tukinao ndo anamganda na ile timu yake mwanaume gan ataemkubaliDiamond kinachomuumiza sana ni brand yake maana akikumbuka kilichomkuta baada ya kuachana na wema ndo icho kitakachomkuta pindi atako mdrop zari, lakin in reality hakuna kijana yyt anayeweza kivumilia kukaa na mwanamke aliyemzid umri kiasi icho na mitoto juu. Kwa navohisi domo itakuwa alikuwa kashaanza kutengeneza maisha mapya na hamissa kisiri siri ili baadaye hata ikija kuvuma iwe rahisi kumuacha zari sema ndo ivo mipango imevurugika kabla. To be honest hata mm siwezi kuvumilia kuishi na mwanamke anaelekea menopause wakati mm ndo dam mbich kabisa.
[emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] bora joanah uulize mamaBusara za zari ni zipi?ulishamuona zari ama kusoma stori zake akiwa na umri kama wa Hamisa?
Ni wale wale,umri umeenda tu..
Mwanamke amekuzid miaka saba huko kama sio nane kwanza unakuwa huwez hata kuuonesha uanaume wako hata kujiamin hutokuwa naoDiamond kinachomuumiza sana ni brand yake maana akikumbuka kilichomkuta baada ya kuachana na wema ndo icho kitakachomkuta pindi atako mdrop zari, lakin in reality hakuna kijana yyt anayeweza kivumilia kukaa na mwanamke aliyemzid umri kiasi icho na mitoto juu. Kwa navohisi domo itakuwa alikuwa kashaanza kutengeneza maisha mapya na hamissa kisiri siri ili baadaye hata ikija kuvuma iwe rahisi kumuacha zari sema ndo ivo mipango imevurugika kabla. To be honest hata mm siwezi kuvumilia kuishi na mwanamke anaelekea menopause wakati mm ndo dam mbich kabisa.
Hao walosema zari ana busara waje watujuze ambao hatuzijui [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6][emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] bora joanah uulize mama
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]mnataka kila mtu amponde tu...Wewe dadake? Mamake? Shost? Au hamisa mwenyewe
Uteam mavi mavi unawasumbua Mimi wala simchukii Zari ila kwa hili watulize vipago tuu!Hao walosema zari ana busara waje watujuze ambao hatuzijui [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Siyo miaka saba almost kumi. Huwa najiuliza siku tiffa akikua akute ule uchafu wa mama kwny mitandao cjui atajihisije.Mwanamke amekuzid miaka saba huko kama sio nane kwanza unakuwa huwez hata kuuonesha uanaume wako hata kujiamin hutokuwa nao
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wewe ushawahi omba ukanyimwa ndo maana poleeeeNaunga mkono hoja mkuu....tuseme ni kama alikuwa anafikiria pa kutokea huyo KIDOMO.....mtoto hata miezi miwili haijafika KAMBURUZA DAIMOND mahakamani kwa MATUNZO,,,,na baada ya AROBAINI....jana imefata PART YA KUMPONGEZA MTOTO,,,sasa hizo pongezi za mamilions ya maandalizi ya PART sijuwi za nn ...nasikia anataka 5 mls kwa mwezi. ...
Hkn anaemchukia na utamchukiaje mtu bila sababu inamaana kutaka kuambiwa busara zake ndo kumchukia wengine hatuzijui hz busara zakeUteam mavi mavi unawasumbua Mimi wala simchukii Zari ila kwa hili watulize vipago tuu!
Hamisa afanye yake
Ndy maana mkapewa laki mbili kwa mwezi...maana mkipewa nyingi mnasumbuw wtu mjini..huyo hamisa ni sawa na Mlevi tu....anakuomba pesa unampa AKISHALEWA anarudi kukutukana...ndy maana DAI akasitisha pesa....leo analalama mahakamani..hapewi mtunzo....hizo pesa zingemsaidia kufungua hata biashara kuliko kutegemea KUVULIWA CHUPI mjini humu...pia anapaswa apambane na hali yake sio apambane na wengine.....atakuja kudaiwa DNA ya mtoto aumbuke....mtoto mwenywe wa KUCHOMEKEA.....[emoji1] [emoji1] [emoji1] wewe ushawahi omba ukanyimwa ndo maana poleeee
Pambana na hali yako