Chid Benz ametoroka sober house

Chid Benz ametoroka sober house

Sasa km bunge halionyeshwi....?! Si.
Bora tuendelee na upuuzi wa kina Kala pina na mateja wote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hakuna namna
🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵hahaha eti kamabunge halioneshwi tuendeleena upuuzi wa kinapina na wateja hahahahaha umetisha
 
Kwenye hiko kipindi cha tv kama wataonyesha jinsi alivyokuwa anaondoka italeta majibu sahihi
maneno ya meneja wa soba house huyaamini? maana ndio anahojiwa hapo kwenye clip na kasema ameondoka kabla ya kupona
 
Hii sasa sijui ndo hujafa hujaumbuka??? Manake alivyoisha ukiambiwa katoroka kwenye matibabu..... Kazi ipo
 
🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵hahaha eti kamabunge halioneshwi tuendeleena upuuzi wa kinapina na wateja hahahahaha umetisha
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji12] [emoji12] ndio mkuu
 
Mbwa ni mbwa tu hata akiwa anapiga mswaki asb na jioni. Mbwa yake kurudia matapishi
 
Chid Benz amedaiwa kutoroka sober house baada ya kukaa muda wa mwezi mmoja, watu waliokuwa wanamuangalia wanasema inawezekana alikuwa hajazoea kukaa kufungiwa kila mara ndio maana akaondoka lakini alikuwa hajapona kabisa
wamedai pia alikuwa mkorofi na alikuwa hayupo tayari kusaidiwa
mahojiano kati ya mwandishi wa na meneja wa Bagamoyo sober house haya hapa kuhusu maisha ya jamaa yalivyokuwa


aje huku mtaani, sura awe kama Kingunge Ngombale Mwiru.
 
Back
Top Bottom