Chid Benz apelekwa Bagamoyo sober house

Ni MUNGU tu atende miujiza yake ili aache kutumia hiyo kitu;
na kuacha ni yeye aamue mwenyewe kuwa sasa basi;
vinginevyo wengine huwa wanarudia poda.
 
METHADONE ndio balaa,kama ARV tu,akiacha anang'ata shuka.
 
Mungu amsaidie...ila vijana mjifunze!mnapokuwa kwenye pick mnatuzingua sana wazee wenu...yakiwashinda mnakuja mnatambaa!
 
mimi mwenyewe nina wasiwasi na discipline aliyonayo chid benz, huu unaweza ukawa mtihani mkubwa sana kwake, kupona sio kutumia methadone tu, bali hata tabia ya mtumiaji inachangia sana kuona/kutopona
Ni kweli.
 
Dah,

Ila kiukweli Chid Hapo ndio basi tena, hawezi kurudi kama zamani...
 
Dawa aache usela mavi tu.
Alivyokuwa anaishabikia CCM, cha kushangaza hata maccm wenzie wamemgeuka!
 
Dawa aache usela mavi tu.
Alivyokuwa anaishabikia CCM, cha kushangaza hata maccm wenzie wamemgeuka!
Msalani tumia hata akili kidogo kufikiri! hilo siyo suala la kivyama! acha roho mbaya na chuki ya kiitikadi ya kivyama, ina maana kina msagasumu wakipata shida wasisaidiwe na mtu wa chama tofauti kisa alikuwa ukawa? hebu tumia akili kidogo kufikiri na kutafakari, vyama vitaondoka binadamu na utu utabakia daima! kama huwezi kumsaidia wewe kaa kimya acha walio na utu wamsaidie, usilete uccm, ucuf na uchadema wako hapa! tunaongeleea namna ya kuyanusuru maisha ya kijana mtanzania aliyepotea.
 
Wakati akimtukana LOWASSA na kumkashifu kuwa ni mgonjwa, hakujua kuwa kuna siku yake? Mpumbavu tu!
Mimi huwa siwaonei huruma watu wajinga wajinga!
 
Hahahahahaha......unafanha hip-hop wkt ww mwnyw njaaa mgonjwa ....gn anakumbukaga kula
 
Wakati akimtukana LOWASSA na kumkashifu kuwa ni mgonjwa, hakujua kuwa kuna siku yake? Mpumbavu tu!
Mimi huwa siwaonei huruma watu wajinga wajinga!
Wangemuacha tu afe huyo kenge,kabakia skeletoni wanahangaika nae wa nini,tena kwa starehe zake,aliyataka mwenyewe. Hata hivyo najua haponi.
 
Wangemuacha tu afe huyo kenge,kabakia skeletoni wanahangaika nae wa nini,tena kwa starehe zake,aliyataka mwenyewe. Hata hivyo najua haponi.
CHID BENZ hakuwa mtu wa maana, sioni faida yeyote ya watu kumsaidia. Wimbo alioutoa kipindi cha uchaguzi 2015 ulijaa matusi, ubaguzi, unyanyapaa, etc, na ulikuwa wimbo usio na adabu wala usiopendeza masikio! Leo hii mimi na akili zangu nimuonee huruma mjinga kama huyu? Mkuu naungana na wewe! Wangemuacha afe tu! Ili iwe fundisho kwa wajinga wenye akili kama zake! Hata hivyo hatoboi! Bora Mangwea Mungu alimchukua(MUNGU AMLAZE PEMA, PEPONI)Lakini hakuwahi kutukana mtu yeyote kwa sababu za kisiasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…