Chid Benz apelekwa Bagamoyo sober house

Ni kweli mkuu jamaa alikua na kipaji hasa ,ndio hivyo tena wanasema vizuri havidumu ,acha apumzike kwa amani
 
Utambulisho wa emoji mpya inayoitwa Chidi Benzi [emoji117] [emoji89]
 
Magufuli anza na Rashid akuoneshe alipokua ananunulia poda then twende now saw a

Wakati tukitoa elimu juu ya athari za madawa ya kulevya,tupambane na wanaoyaingiza na kuyasambaza

Hivi na Rwanda kuna mateja?
 
Wakati akimtukana LOWASSA na kumkashifu kuwa ni mgonjwa, hakujua kuwa kuna siku yake? Mpumbavu tu!
Mimi huwa siwaonei huruma watu wajinga wajinga!
Huu ndo ukweli eti tuwe na huruma kwake,wakati alikuwa anatumia kipaji chake kutukana na kukashifu watu wanaowaita wagonjwa..sasa ni zamu yake.
 
Wauza unga wa Bongo ni wajanja sana. Ndio wameamua kuizima issue ya Chid Benz kwa mtindo huu wa kumpeleka kwa Babu Tale? Najua kama issue ya uteja wa Chid ingewaathiri sana Rumi na Nassoro coz ndio wao waliofanya awe teja.
Wamekuwa hawataki kabisa issue ya uteja wa Chid itawale kwenye mazungumzo ya Watanzania kwa usalama wao. Kama mnakumbuka kuna wakati 2014 Chid alitawala mitandaoni kama hivi, kwa haraka wakaizima issue.
Fasta ikatangazwa Diamond na AY watamsimamia kimuziki na fasta ukatolewa wimbo wake wa Mpaka Kuchee aliowashirikisha AY na Diamond, na baada ya hapo stori zikawa Chid kurudi kwenye game sio kukongoroka.
Watanzania walipobadilisha hoja, basi na wao wakanyoosha miguu na kuendelea kuponda raha zao na kumuacha Chid akiendelea kujikongoroa mwili wake kwa kuvuta unga kwa kiasi atakacho. Kazi yake ni kuvuta, kulala, kuamka na kuvuta tena.
Imekuwa ndio mtindo, kila Chid akitokeza kwenye jamii juu ya uteja wake anatajiwa Meneja mpya, ashakuwa chini ya Tunda Man na Shetta. Na sasa wametumia njia ile ile, ila wameongeza kwa kumpeleka sober ambako hata TID alipelekwa na aliporudi gari likawaka tena.
Ifike wakati Watanzania tusihamishwe hoja kwa 'peremende' za hawa wauza unga, ambao wakati wote wametokeza kujitia kumsaidia Chid inapotokea uteja wake kujadiliwa na sehemu kubwa ya jamii. Ndio hawa hawa wauza unga waliomsaidia kwenye kesi ya kukamatwa na unga.
Wanampumbaza Chid kwa kumweka kwenye nyumba nzuri ili kujitia wako naye na kumpa uwezo wa kuvuta unga kwa kiasi atakacho. Wameshamtumia vya kutosha hawamtaki tena, wamebaki kumlinda asizungumze na wala asizungumzwe na Watanzania.
Rumi (a.k.a Rashid Jabu) na mshikaji wako Nassoro (Nasabshort) iko siku Chid atawagharimu tu labda mumtoe pumzi kama Ngwair. acheni leo mjione wajanja ila iko siku.

Ova
 
Umemaliza yote
 
Kweli kabisa huyu bogus alimtukana Lowassa matusi yakijinga sana..wacha aipate..akome.. eti Lowassa mgonjwa..mbona yeye amekondeana sasa na kazeeka kuliko mzee kingunge..
na bado mengi yanakuja
 
Kila siku najiuliza, hivi watanzania kwa ujumla tuna nia thabiti ya kuzuia tatizo la unga?
Uwa nafanya imagination ikitokea mtaani kuna baba mmoja mkwale, yeye kazi yake ni kubaka watoto na vijana, hachagui wa kike wala kiume. Unafikiri watu wa mtaa ule watampa adhabu gani?
Tatizo la unga tunalichukulia katika mtazamo mdogo sana, kila mtu atakwambia huyo ni Chid yeye hayamuhusu, kumbe mateja wako katika jamii yetu na wana madhara makubwa sana kwetu kuliko tunavyofikiri.
 
Nadhani atapona na kuwa poa, ila pia amsure atayarudia tena hiyo haipingiki
 
Huyu hawezi kurudi katika Hali yake ya zamani
 
Unga unaua kipaji. Akapone atafute frame Ilala afungue kiosk.
 
we ndo ulipona kwa style hii?!
 


Aisee umemaliza kila kitu... Hawa jamaa wajanja sana aisee..
 
Diet hiyo msidanganywe na kale ka body
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…