Mbulukenge
Senior Member
- Jun 26, 2019
- 130
- 306
Huyu gwiji wa kitambo ndio amefikia huku kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah jamaa kachoka sana
Naibu waziri wa michezo na sanaa akumbuke kumsaidia huyu jamaa mwana tasnia mwenzake.Rashid Abdallah Makwilo! King Kong! Anasikitisha sana. Atatoka Kweli kwenye hili shimo alilotumbukia!? Maana kama namuona Banza! Ila Mungu ndio anajua.
Share inboxI want to speak to the manager. Humu boss nani? Natoa malalamiko yangu. Humu kuna shangazi mmoja ananitumia picha za matiti dm kipindi hiki cha kwaresima mimi nakwazika sana.
Serikali iache kutumia hela zake kwenye vitu vya maana ihangaike na ili tejaNaibu waziri wa michezo na sanaa akumbuke kumsaidia huyu jamaa mwana tasnia mwenzake.
Duh last time ulimuona wapRashid gari imewaka upyaaa ilivyokolea sijui nani tena wa kulizuia. Ameanza kulala street tena.
Oi mpelekeni rehabMwamba kila siku yupo zegelasi Kimara mwisho; anabwia unga mwanzo mwisho!
Maisha noma... Nikiicheck ile nyimbo kaimba na Mzee Yusuph Bongo Fleva nachoka
Huyo kashindikana! Watu wengi tu wameshajaribu ila pasua kichwa;Oi mpelekeni rehab
Mkuu una pia kubwa mno, si utatumalzia oksijeni humu jamviniYote yatapita
Nalog off
Naibu waziri wa michezo na sanaa akumbuke kumsaidia huyu jamaa mwana tasnia mwenzake.