Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Poda dadeki ni ngumu sana kumuacha mtu salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poda dadeki ni ngumu sana kumuacha mtu salama
Unawajua CCM au unawasikia..?Naibu waziri wa michezo na sanaa akumbuke kumsaidia huyu jamaa mwana tasnia mwenzake.
Masikani tata sana hiyo..Mwamba kila siku yupo zegelasi Kimara mwisho; anabwia unga mwanzo mwisho!
Huyu hajashindikanaHuyo kashindikana! Watu wengi tu wameshajaribu ila pasua kichwa;
Afu mbaya zaidi anakula ule unga mchafu kabisa wa buku 3 kwa kete mmoja.( Hiyo buku 3 some time inakua shida kwake) maana ashakua chronic anabugia kete nyingi Sana kwa siku. Na pesa hana
Kipindi kile chidibenz alikua mzinguaji sanaMkuu wewe unajua kuhusu Ukraine tu .?
Hujui enzi akiwa kwenye Prime Chid Benz alimpiga ngumi mwana Fa club, kisha akamwagia pombe Prof.Jay, na kumtukana Fid Q..
Hapana, nakataa. Kuwa Cheed Benz ni kupenda mwenyewe, hasa pale ukiwa tayari unajua maisha ya mla unga yanavyokuwa.We are not perfect any time u can be Cheed benz........God help him..........
Usijali mkuu nitaipunguza 😂Mkuu una pia kubwa mno, si utatumalzia oksijeni humu jamvini
Madawa ya kulevya na umalaya... Havija wahi muacha mtu salama...
Unga ni unga tu... Hakuna cha wa bei rahisi wala kubwaHuyo kashindikana! Watu wengi tu wameshajaribu ila pasua kichwa;
Afu mbaya zaidi anakula ule unga mchafu kabisa wa buku 3 kwa kete mmoja.( Hiyo buku 3 some time inakua shida kwake) maana ashakua chronic anabugia kete nyingi Sana kwa siku. Na pesa hana
Usikute na ww ni mwanaume umeandika hiviSema muhuni ana ndonga
Tema mate chini .kisha Msihi mola akusameheSerikali iache kutumia hela zake kwenye vitu vya maana ihangaike na ili teja
Vitu vya maana ni kununua magoliSerikali iache kutumia hela zake kwenye vitu vya maana ihangaike na ili teja
Rashid Abdallah Makwilo! King Kong! Anasikitisha sana. Atatoka Kweli kwenye hili shimo alilotumbukia!? Maana kama namuona Banza! Ila Mungu ndio anajua.