Chid Benz hali tete

Huyu hajashindikana

Huyu anaupenda unga

Huyu anajuwa kuna watu wapo watamsaidia,kumbembeleza,petypety

Mtumiaji wa madawa haachi kwa kubembelezwa,sijui mnamkodia gari
Mnampeleka rehab kama mnaenda piknik...Noo

Huyu kwa sasa waachane naye mpaka mwenyewe aseme sasa nataka nitoke huku...kutoka moyoni mwake

Ova
 
Rashid Abdallah Makwilo! King Kong! Anasikitisha sana. Atatoka Kweli kwenye hili shimo alilotumbukia!? Maana kama namuona Banza! Ila Mungu ndio anajua.

Chuma kimepata Kutu ,La Familia Ilala ,Mikono Mfululu! Modi Bize!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…