Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha niwee wa kwanza leo kusubiria wafia dini wana maoni gani juu ya kauli ya huyu mwambaAmeyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema.
Bangi.Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema.
Kapiga cha Arusha bado wenge halijaisha!Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema.
Unaisingiziaa mkuu[emoji23][emoji23]Bangi.
Uyu nae Unga ushaharibu ubongo sasa lolote akisema ni twende tu😂😂😂Ameyasema hayo akiwa anaongea na Dotto Magari. " Unajua duniani hakuna Mungu. Yale matendo mazuri unayo fanya ndio Mungu n.a. matendo mabaya ndio shetani" alisikika akisema.
Nakazia. Ur very smart. Chid is genius. Kwanza alicho kisema amenisurprise sana kwamba amejua wapi kwa sababu watu wa imani za siri ndicho wanacho kiamini...Kumuelewa Chidy unatakiwa uwe na akili kubwa, kama akili kisoda kichwa cha panzi utaishia kumuona miyeyusho.
Low IQ anae muamini mla unga wa kinondoni akijiona yupo mwezini akishapata unga wake🤣.Watu wenye low iq na walio karirishwa ndo wanao mponda mwamba but he is very smart
amezidisha kipimo cha nnMara kadhaa nimemsikia akitaja utukufu wa Mungu, nadhan hapo alizidisha vipimo ndo likamponyoka