Chid Benz: Hii Dunia hakuna Mungu

Chid Benz: Hii Dunia hakuna Mungu

So Kiranga na yeye ni bangi? Sio kwamba wewe ndo umevuta na yeye yupo conscious? Cocaine huwa ina fungua jicho la tatu. He probably knows something which you know not
So jicho la tatu likifunguka sana linasababisha wawe wananesa nesa?
 
Kiukweli hakuna Mungu/Mungu/mlungu wala nini?

Kila kitu ni matendo yako na matokeo baadaya kutenda ila hakuna hicho kitu.

Waza tu kwa kutumia fikra nyepesi
 
Huyu mtu akili hana, anajifanya kama anazo na watanzania wajinga wanadhani huwa anazo, false intelligence
 
Back
Top Bottom