Chid Benz hii nini? Madawa au?

Chid Benz hii nini? Madawa au?

ChickMagnet

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
2,676
Reaction score
3,451
Nimeona hii picha sehemu
 

Attachments

  • 2015-01-15 22.37.25.png
    2015-01-15 22.37.25.png
    91.2 KB · Views: 3,649
Nimeona hii picha sehemu

Naona kama hii ya kulia alikua jukwaani ana-perform. Sitegemei awe na Poda au Make up wakati kwa style ya Chid ya kurap kwa kutumia nguvu nyingi lazima atatoka jasho.

Pili ukubwa wa macho yake ndio ulivyo, ndio maana hupenda kuvaa miwani
 
Naona kama hii ya kulia alikua jukwaani ana-perform. Sitegemei awe na Poda au Make up wakati kwa style ya Chid ya kurap kwa kutumia nguvu nyingi lazima atatoka jasho.

Pili ukubwa wa macho yake ndio ulivyo, ndio maana hupenda kuvaa miwani



ukiwa jukwaani sura inakongoroka?
 
ukiwa jukwaani sura inakongoroka?

Pengine hiyo ndio sura yake halisi, sio sura ya photo point. Hiyo Picha imekatwa mno, ingeonekana kwa ukubwa wake ungeona hata taa za jukwaani. Pia nguvu ya kurap pamoja na kurukaruka ndio maana wengine wanapanda na taulo dogo!!
 
Pengine hiyo ndio sura yake halisi, sio sura ya photo point. Hiyo Picha imekatwa mno, ingeonekana kwa ukubwa wake ungeona hata taa za jukwaani. Pia nguvu ya kurap pamoja na kurukaruka ndio maana wengine wanapanda na taulo dogo!!

hehe..acheni matani..hiyo ni mipoda.
 
Back
Top Bottom