Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Nimeiona hadi nikasikitika pia nikakumbuka juhudi za Makonda japo simpendi
hahaha ankal una Mambo? java unaendaga bado?Bangi ipi hiyo? Wewe kichwa chako kama hakiwezi bangi usipende kufanya ndio kila mtu mkuu
bado una amini ile ilikua vita ya madawa?Nimeiona hadi nikasikitika pia nikakumbuka juhudi za Makonda japo simpendi
Mkuu! umeanza Ku enjoy Jf as a member? mm ndio yule niliekushawishi fb! hahaNimeona Interview yake kwenye matangazo ya E-News EATV anasema Tupac yupo hai nchini Cuba na tunawasiliana naye na kipini alichovaa puani ni cha kwake. Na anafanya mpango amlete Tanzania.
Huyu jamaa karibu anakuwa 'chizi fresh'.
Ngoja Makonda amsikieNimeona Interview yake kwenye matangazo ya E-News EATV anasema Tupac yupo hai nchini Cuba na tunawasiliana naye na kipini alichovaa puani ni cha kwake. Na anafanya mpango amlete Tanzania.
Huyu jamaa karibu anakuwa 'chizi fresh'.
Jela ni ya kina manji huyo yy anasaidiwa kuacha
Hahahah jombaa hivi kule hakujafungwa kweli? Nipo porini acha tuhahaha ankal una Mambo? java unaendaga bado?