Chid Benz: Tupac yupo Cuba na tunawasiliana naye!
"Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na 2pac na hata sasa hivi nimetoka kuongea naye"
Mimi na 2Pac tumekutana Cuba, na tumefanya nyimbo ya pamoja na Mungu akisaidia hivi karibuni tataachia nyimbo hiyo".
"2Pac ana mpango wa kurudi kwenye muziki, na wimbo wetu tuliorekodi ndiyo utamrudisha. Na hivi karibuni 2Pac atakuja bongo, ila atakuja kimya kimya kama alivyokuja Beckam" Aliongeza Chidi Benz akiiambia EATV........
Hahahahaha Ninachoshangaa mpaka sasa Chid hajatiwa kamba miguuni na mikononi...sijui wanataka aue mtu kwa kisu kwanza!!!!