Chidi Benz ampiga Ray C

Chidi Benz ampiga Ray C

hahaha Chidi ni mchokozi kilichomtoa kwake usiku kuja kufanya fujo ni nini na kushusha kile kipondo heavy weight.... katoka Ilala hadi Changanyikeni. ...

Jaman si mtoto chanzp binamu au nini tena? Mmh nasubir tu unipe vioja maana jiran kama nakuona ulivyokesha ukutaka kupitwa ata, yani ungeniita binamu mbona ray c angerud kenya
 
Jaman si mtoto chanzp binamu au nini tena? Mmh nasubir tu unipe vioja maana jiran kama nakuona ulivyokesha ukutaka kupitwa ata, yani ungeniita binamu mbona ray c angerud kenya

chanzo sio mtoto binamu

sijui umepata ka private meseji kangu hebu do the needful tafadhali
 
Kesi yao tata kweli wote MATEJA mbona patamu, apa nimewasikiliza Ugomvi wao nilivyoona na huyo mariam nae ni addicted na madawa nikasema bas tena hii kesi wanajuana wenyew hawa, hakuna wa kumtetea apa.

Kesi ya bibi heri, shamba la bwana heri, shahidi bibi heri yote heri
 
Chid benz ana hitaji kufungwa hili apone.
 
Kafilisika mashairi sasa anapunguzia hasira kwa watu!!!
Huyo dogo atakufa kifo kibaya sana asipobadilika
 
Back
Top Bottom