Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
hahahaha kitu cha Noah kipo kimetulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha Chidi ni mchokozi kilichomtoa kwake usiku kuja kufanya fujo ni nini na kushusha kile kipondo heavy weight.... katoka Ilala hadi Changanyikeni. ...
Jaman si mtoto chanzp binamu au nini tena? Mmh nasubir tu unipe vioja maana jiran kama nakuona ulivyokesha ukutaka kupitwa ata, yani ungeniita binamu mbona ray c angerud kenya
Jaman si mtoto chanzp binamu au nini tena? Mmh nasubir tu unipe vioja maana jiran kama nakuona ulivyokesha ukutaka kupitwa ata, yani ungeniita binamu mbona ray c angerud kenya
Kesi yao tata kweli wote MATEJA mbona patamu, apa nimewasikiliza Ugomvi wao nilivyoona na huyo mariam nae ni addicted na madawa nikasema bas tena hii kesi wanajuana wenyew hawa, hakuna wa kumtetea apa.
hahahahahah shiiiiiii..... nakutumia novida kwa tigo pesa
Mmh masikini , dada rehema mwenyewe kakimbilia kwa jiran akijua yupo salama kumbe jiran mbaya kuliko hata chid aliyempa makonde, jaman apa nacheka hatar, mmh majiran mmetisha
Mmh masikini , dada rehema mwenyewe kakimbilia kwa jiran akijua yupo salama kumbe jiran mbaya kuliko hata chid aliyempa makonde, jaman apa nacheka hatar, mmh majiran mmetisha
chanzo sio mtoto binamu
sijui umepata ka private meseji kangu hebu do the needful tafadhali
mpwa njoo pm unipe mkasa maana leo nina kikao changanyikeni na profesa fulani hivi.
Kafilisika mashairi sasa anapunguzia hasira kwa watu!!!
Huyo dogo atakufa kifo kibaya sana asipobadilika
mpwa unakuja saa ngapi ....
hivi kuna wimbo aliwahi kuimba na ray C
warumi unaufahamu.
mi naujua ila nimeusahau!