kotelyimola
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 1,459
- 1,506
Kama unamtaka yupo karibu na Changamoto ni Matumaini (ile kambi ambayo inasaidia watu ambao ni addicted) karibu na dodo dogo (kumbuka haisaidii addiction kama yako warumi maana wao ni wazungu waliookokabunju si kwa mama yake? jamani rehema nyie huyu, si bora angeomba collabo na jide waamke tena looh! nikikumbuka enzi zake machozi yananitoka aiseh