HospitaliniHayo madawa anayapata wapi??
Hii issue hawa jamaa walikuwa wanatafuta kick Chidi Benz alipaswa kukaa sober house si chini ya miezi 6, kuacha madawa ya kulevya sio kazi rahisi
Kwani Tale ndiye aliyemvutisha unga??Babu tale roho mbaya. Hata Ray vanny alikuwa anambania hadi diamond akamtoa mwenyewe. Kingine tiptop kaikacha kutwa kucha kumganda domo
Madawa ya kulevya ni sawa na kula nyama ya mtu! Huwez acha!
Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia
Ukiweza kumpiga picha utuletee tuone alivyoHapa tuandike tu lakini ukimuona Chidi benzi utamuonea Huruma anazunguka kwenye ma Bar usiku hasa kinondoni maeneo ya Masai Club na papichulo anaomba kuimba angalau mkono uend kinywani. Binfsi nilimuona Chozi likanidondoka
Nimeiona instagram duh gari limekata break mlimani resi mbayaSOLO THANG AMWAGA CHOZI BAADA YA KUKUTANA NA CHID BAJAJI.
View attachment 450200
View attachment 450202
namaanisha na wewe walikuingiza mkumbo ukaanza kubwia unga???[emoji28]
Sja elewa mzee
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]namaanisha na wewe walikuingiza mkumbo ukaanza kubwia unga???
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Asee mi sko huko wala sja wahi, hiyo ya Maslow nimeikumbukia kwenye masomo tuu
hata mimi nilipenda sananakumbuka kipindi nipo chuo hyo thery ya motivation ilikuwa inavutia anyway cheers