Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

Chidi Benz arudia madawa ya kulevya, Babu Tale aapa kutomsaidia tena!

SOLO THANG AMWAGA CHOZI BAADA YA KUKUTANA NA CHID BAJAJI.
Solo_Chid1.jpg

Solo_Chid.jpg
 
Babu tale roho mbaya. Hata Ray vanny alikuwa anambania hadi diamond akamtoa mwenyewe. Kingine tiptop kaikacha kutwa kucha kumganda domo
Kwani Tale ndiye aliyemvutisha unga??

Mshaanza kumlaumu Tale wa watu binaadamu bwana
 
Bora kunywa kiroba.
cocaine na heroine tuwaache chidi benz ma ray c
 


Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia

Madawa ya kulevya ni sawa na kula nyama ya mtu! Huwez acha!
 
Hapa tuandike tu lakini ukimuona Chidi benzi utamuonea Huruma anazunguka kwenye ma Bar usiku hasa kinondoni maeneo ya Masai Club na papichulo anaomba kuimba angalau mkono uend kinywani. Binfsi nilimuona Chozi likanidondoka
Ukiweza kumpiga picha utuletee tuone alivyo
 
namaanisha na wewe walikuingiza mkumbo ukaanza kubwia unga???
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Asee mi sko huko wala sja wahi, hiyo ya Maslow nimeikumbukia kwenye masomo tuu
 
Nakumbuka aliulizwa siku moja akasema kitu kama hiki
"Kwani shida nini, mashabiki wangu mziki mzuri wanapata kama kawaida bila kujali kama natumia au situmii, cha msingi wanachotaka ni burudani na ninawapa hayo mengine sio ya msingi"

Dah...huyu jamaa alikua ni mmoja katinya wakali wa hiphop ya bongo...nasikitika sana yani.
 
Back
Top Bottom