Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna chalii yangu tulikuwa best o level ila bahati mby form4 hakumaliza sabb ya matatizo ya kifamiliaUzi kama huu sisomagi kwani unahuzunisha sana,ukizingatia kma ushapata ndugu wa bhangi au madawa,aisee acheni tu
kuna mbongo gani anayetumia madawa ya kulevya ana ela za kumkalibia tuu Whitney Houston au Bobby Brown?je hayo madawa grade A unajua yalichowafanya kina Whitney?hakuna kitu haramu kikawa na +ve impact brother,,ukiona kitu chochote kinapingwa vikali mpaka na Mmarekani basi kaa nacho mbaliTatizo umeshakariri kuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya lazima awe na hali mbaya then mchafu mchafu, ndio maana nikasema wanatumia unga mchafu.
Wapo wanaotumia madawa ya kulevya hapa hapa bongo but their still smart na wana pesa.
Huwezi kutumia unga gredi " A " kama huna pesa.
[emoji12] [emoji95] [emoji379]
Basi sawa.kuna mbongo gani anayetumia madawa ya kulevya ana ela za kumkalibia tuu Whitney Houston au Bobby Brown?je hayo madawa grade A unajua yalichowafanya kina Whitney?hakuna kitu haramu kikawa na +ve impact brother,,ukiona kitu chochote kinapingwa vikali mpaka na Mmarekani basi kaa nacho mbali
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]dah Abraham maslow
unajuaje kama hatumii mkuu..?katafute wapuuzi wenzako uwaambie upuuzi wakp,,km sio mabaya mbona wewe hutumii?
Yaani mkuu mm huwa nashangaa kweli hii biashara kuebdelea kuwepo wakati watumiaji kama hawa wanaweza kusaidia kuonesha yanapo patikanaHayo madawa anayapata wapi??
Huku kwetu wapo wala serikali haina time nao...Ndio maana yule Rais wa Phillipines anaua yeyote anaye jihusisha na ngada, kule wenzetu sober house ni mochwari, madawa ya kulevya yana maliza sana vijana kwa kweli nina hasira sana hapa nilipo
Umeongea vizuri sana mkuu, tupe way forward sasa.mkuu usilipe excuse sana gonjwa la ukimwi
wapo wanaopata kwa uzembeau ukosefu wa maarifa tu!
pia
wapo wanaopata kwa bahati mbaya
kuhusu madawa ya kulevya mkuu..
wapo ambao ni ushawishi wa watu wake wa karibu anaowaamini ambao uliushinda uwezo wa fikra zake
Pia wapo walioanza madawa ya kulevya kwa nguvu ya penzi
hapa.. ni yale mambo ya kimapenzi .. mmoja anaetumia madawa ya kulevya anapomshawishi mwenzake..
sababu zipo nyingi mkuu..maana watu tunahulka ya ku-Imitate mambo kutoka kwa watu tunaowapenda..
Ila sio kwamba madhara hayafahamiki..
Sidhani kama walikuwa wanatafuta kiki walikuwa na nia ya kumsaidia kbs ila chid kibaji hakuwa tayar kusaidiwaHii issue hawa jamaa walikuwa wanatafuta kick Chidi Benz alipaswa kukaa sober house si chini ya miezi 6, kuacha madawa ya kulevya sio kazi rahisi
Una ushahidi na hili? Be carafully!Huku kwetu wapo wala serikali haina time nao...
Afu wakuu wa nchi ndo kwanza suppliers wa unga...!
Ni kuomba tuu yasumkute nduguyo! Hii kitu hatari sana[emoji41] [emoji41]
Kumpeleka mtu sober ni sawa na kumpeleka jela so,ilipaswa kila wiki wawe wanaenda kumjulia hali na kumtia moyo awe mvumilivu ili apone kabisa.Hata alivyotoka walipaswa wawe wanamfuatilia nyendo zake na sio kumtelekezaSidhani kama walikuwa kiki walikuwa na nia ya kumsaidia kbs ila chid kibaji hakuwa tayar kusaidiwa
Chid Benz ataacha vipi wakati kunalundo la Madawa ya kulevya Mitaani!Huku kwetu wapo wala serikali haina time nao...
Afu wakuu wa nchi ndo kwanza suppliers wa unga...!
Ni kuomba tuu yasumkute nduguyo! Hii kitu hatari sana[emoji41] [emoji41]
wasomi wa kuunga unga utawajua tu lazima achomeke tumjue anajuaZile zile za Maslow?