Hii mambo ya ushaidi unayo ndo inaendelea kuua TzUna ushahidi na hili? Be carafully!
miez 6Hivi rehab kwa wastan ilitakiwa akae time ipi!?
Haya madawa nouma sana! Bad enough wanaathirika ni hawa wanao nunua dawa chafu ile ya kiwango cha chini....Chid Benz ataacha vipi wakati kunalundo la Madawa ya kulevya Mitaani!
Serikali ifanye kazi ya ziada ya kudhibiti haya madubwasha,Na inawafahamu vizuri hao wasambaza Unga!
Naunga mkono kwa asilimia nyingi anachokifanya Durtete huko Ufulipino!
Taifa la kesho linaangamia kwa upuuzi huu wa Madawa ya kulevya.
nan alimpelekaJana amekataa kuingia kwenye sober house ya pilli misana iliyopo kigamboni akakimbia na kukwea bodaboda... Ukimuona huwezi kuamini kama ni chidi mpaka uambiwe.
Nan huyoHata huyo Babu Tale wenu nae namwona ni Mpumbavu tu pia kwani alipashwa kumtumia Msanii Rehema Chalamila ( Ray C ) kama reference yake ndipo ajikite katika kumsaidia Chid Benz. Hivi kama tu Ray C aliweza kusaidiwa tena na Rais Mstaafu Kikwete kwenda rehab huku akipewa first class treatment lakini bado akawa tu anabwia bwimbwi itakuwa kwa Chid Benz aliyepelekwa tu huko madongo kuporomoka Bagamoyo?
Leo huyo Babu Tale anaposema tena hadi kuuapa kuwa hatomsaidia tena Chid Benz kwani kuna Mtu aliyemtuma? Ni sifa zake mwenyewe na kiherehere cha kutaka kujionyesha yeye ni Philanthropist ndicho Kimemponza na sisi Watoto wa mjini tunajua kwanini leo Babu Tale analalamika kwani alitaka kuchuma zaidi kupitia fadhila yake kwa Chid Benz ila bahati mbaya Chizi karudia tena Utahaira wake na sasa kaingia bonge la hasara.
Eti unajitolea kumtibia Chid Benz wakati Wazazi wake, Ndugu, Jamaa na Marafiki wa pale Ilala flats wameshindwa. Shenzy Taipu kabisa na akome kujipendekeza siku nyingine. Nani aliyekuambia kuwa Chid Benz anatibika? Hivi LAANA huwa INATIBIKA? Huwa sipendi Watu wanaokurupuka na wasiopenda kutumia akili. Muulizeni vizuri huyo Chid Benz wenu Mtu gani aliyemdhalilisha mwaka huu mwezi wa Tatu ( March ) maeneo ya Kinondoni na baadae tena Kigamboni halafu yule Mtu alimtamkia maneno gani Chid Benz na ambayo leo yametimia?
siku zote anaeanza kuvuta unga huwa Ana imani kuwa hawezi kuchoka mpaka awe mpiga debe.Hivi kabla chidi hajaanza kula unga, hakukuwa na mateja ambao tayari walishaathirika na unga kweli?
Hivi chidi hakuwaona?
Aliwaonea huruma au alitamani kuwa kama wao?
Je tunajua hata yule teja tunaemuona karaha pale stendi ya mabasi nae alikuwa smart, na afya tele tena zaidi ya chidi?
Hivi tukimbana na kumuuliza chidi alipoutoa unga, mpaka tukampata mfalme wao anaeuingiza nchini hatuwezi kufanikiwa kuutokomeza?
UKIMWI hauna agent, akupae unaweza usimtambue, acha tuendelewe kugawa ARV, lakini hata unga kweli akupae humjui?
Kuna yule aliyesaidiwa na rais, hivi kweli mheshimiwa angeshindwa kumuuliza yule binti akampa channel nzima, nao wakabanwa tukautokomeza huo mtandao?
Kwakweli hapana, hatujashindwa lakini pia hatujaamua. Tupotupo tu.
So sad...The rise and fall of ChidBenz.siku zote anaeanza kuvuta unga huwa Ana imani kuwa hawezi kuchoka mpaka awe mpiga debe.
Imani hii ndio huwa inawaponza vijana wengi.
Namjua Chid vizuri nje ya mziki wake tumekuwa pamoja pale maghorofani Ilala.
Chid ni mkorofi toka tunakuwa mgomvi,mlevi na mtemi na Chid aliharibika zaidi na kuingia kwenye madawa baada ya Mshkaji wake Modi Bize kurudi bongo toka South Africa yule ndio alimuingiza Chid kwenye madawa.
Kwa hatua aliyofikia sasa sio rahisi kutoka kila mtu amekata tamaa kuanzia mama ake mpaka washkaji wanaomzunguka.
Mm cmkasirikii chidy lakn najiulza mzaz wake ameshindwa kabsa kumsaidia chidy au ndo amesha give up which is awkward/impossible and unthinkable kwa mzaz ku give up kwa mtoto lakn any way cjui c2ation iko vp so limebakia ni swal tu, but kiukwel Mungu Amsaide kaka yangu huyo na hata hao akna babu tale wasikate tamaa, mbna alvyokua kweny peak walikua "bumper to bumper" sasa hv ana shida ambayo kwangu mm nasema co impossible lakn inahtaj uvumlvu kuisha ndo wanaongea hvyo af Mungu epushe mbal mtu akitutoka wataongea maneno mazur sana but ni unafiki...I'm more than sure kwamba mpaka chidy anafka kweny c2ation hii, they know the whole story n' what's hidden inside it labda nngepata nafac nngemshaur kaka ang awaweke wazi wanafiki wanaotuua vjana wenzao kwa mgongo wa kuwa manage lakn kumbe wanawatambulsha kwenye ulimwengu wenye matatzo ambayo yakizidi "expetations" zao za kuya control wanaku "abandon" same as Rashid..#i believe in a free tz..free from corruption, bloodshed, drugs n' many more..speak up rashidy, angalau uwape warning wale amabao wako kwenye mkumbo amabao umekufanya ww ufike hapo ulipo,do it for your fellow youth, do it for the Mothers who weep for the loss of their loved ones(children n' husbands) but most importantly Rashidy, u should do it for the Man power of the United Republic of Tanzania.start building the free tz that envision bro, It starts with us..
Chid Benz amerudia tena madawa ya kulevya na yupo kwenye hali mbaya
Mwana Fa alimuomba Babu Tale wamsaidie msanii huyo hivi karibuni lakini Babu Tale akasema hatomsaidia tena kwa kuwa Chid Benz ni kama sikio la kufa, halisikii dawa
Watu kadhaa walitabiria Chid Benz kurudia kutumia madawa kutokana na msanii huyo kukosa nidhamu na utabiri wao umetimia
I swear cjui[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sasa binamu ndio kusema hujui kingine kilocho bora ni kipi kweli!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu binam wewe bhana itabid tuzungumze ki private zaid
Ujue wewe skukuu hii una nikaribisha kama hupendi haija kaa sawa hiyo.
Mmmmh haya mkuu, I got nothing to sayNitamwaribia Mkuu na siwezi kumtaja ila Wasanii wenzie wanalijua sana hili nililolisema hapa na hata huyo Mtu wanamjua mno. Nasisitiza tena kusema kuwa LAANA huwa haina TIBA na naomba niishie hapa tafadhali.
Kumbe tupo wengi wapenda ubuyuni mtu gani huyo mkuu? na ni maneno gani?
Huyo wakike yaweza kuwa Chiku k au sio mkuuNakupa tu hint na mengineyo utayafuatilia mwenyewe. Ni hivi watafute Wasanii marafiki sana na Chid Benz amabo ni Watatu ( 3 ) mmoja ni wa Kike anaishi Sinza Mori huku wengine wa Kiume mmoja akiishi Ilala katikati ya Amana na Bungoni huku mwingine akiishi Kinondoni Manyanya watakupa kila kitu na bahati nzuri wanafahamika sana tu hivyo watafute watakupa mkanda mzima ila kwa Mimi naomba sasa niishie tu hapa tafadhali.
Mama ake yupo Na ndie anajitaidi kuzunguka kwa watu tofauti tofauti ili wamsaidie mwanae.Mm cmkasirikii chidy lakn najiulza mzaz wake ameshindwa kabsa kumsaidia chidy au ndo amesha give up which is awkward/impossible and unthinkable kwa mzaz ku give up kwa mtoto lakn any way cjui c2ation iko vp so limebakia ni swal tu, but kiukwel Mungu Amsaide kaka yangu huyo na hata hao akna babu tale wasikate tamaa, mbna alvyokua kweny peak walikua "bumper to bumper" sasa hv ana shida ambayo kwangu mm nasema co impossible lakn inahtaj uvumlvu kuisha ndo wanaongea hvyo af Mungu epushe mbal mtu akitutoka wataongea maneno mazur sana but ni unafiki...I'm more than sure kwamba mpaka chidy anafka kweny c2ation hii, they know the whole story n' what's hidden inside it labda nngepata nafac nngemshaur kaka ang awaweke wazi wanafiki wanaotuua vjana wenzao kwa mgongo wa kuwa manage lakn kumbe wanawatambulsha kwenye ulimwengu wenye matatzo ambayo yakizidi "expetations" zao za kuya control wanaku "abandon" same as Rashid..#i believe in a free tz..free from corruption, bloodshed, drugs n' many more..speak up rashidy, angalau uwape warning wale amabao wako kwenye mkumbo amabao umekufanya ww ufike hapo ulipo,do it for your fellow youth, do it for the Mothers who weep for the loss of their loved ones(children n' husbands) but most importantly Rashidy, u should do it for the Man power of the United Republic of Tanzania.start building the free tz that envision bro, It starts with us..