Mm cmkasirikii chidy lakn najiulza mzaz wake ameshindwa kabsa kumsaidia chidy au ndo amesha give up which is awkward/impossible and unthinkable kwa mzaz ku give up kwa mtoto lakn any way cjui c2ation iko vp so limebakia ni swal tu, but kiukwel Mungu Amsaide kaka yangu huyo na hata hao akna babu tale wasikate tamaa, mbna alvyokua kweny peak walikua "bumper to bumper" sasa hv ana shida ambayo kwangu mm nasema co impossible lakn inahtaj uvumlvu kuisha ndo wanaongea hvyo af Mungu epushe mbal mtu akitutoka wataongea maneno mazur sana but ni unafiki...I'm more than sure kwamba mpaka chidy anafka kweny c2ation hii, they know the whole story n' what's hidden inside it labda nngepata nafac nngemshaur kaka ang awaweke wazi wanafiki wanaotuua vjana wenzao kwa mgongo wa kuwa manage lakn kumbe wanawatambulsha kwenye ulimwengu wenye matatzo ambayo yakizidi "expetations" zao za kuya control wanaku "abandon" same as Rashid..#i believe in a free tz..free from corruption, bloodshed, drugs n' many more..speak up rashidy, angalau uwape warning wale amabao wako kwenye mkumbo amabao umekufanya ww ufike hapo ulipo,do it for your fellow youth, do it for the Mothers who weep for the loss of their loved ones(children n' husbands) but most importantly Rashidy, u should do it for the Man power of the United Republic of Tanzania.start building the free tz that envision bro, It starts with us..