lini Paka alisahau mambo yake? wamuacheeee ajidungee alaaahUyo kalapina hivi haon watu wanaohitaji msaada wa sober pale wibu kila siku n chidi uyo mtu hajakubaliana na hali ya kuacha madawa wamwache akiwa tayali atawatafuta wenyewe sio kumfosi kama ivyo
wamuacheeee ajidungeeWamuache tu
IliWamuache tu
Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia uchezeHuwa najiuliza kitu kimoja kwanini wakiingia hawatokii humo na kwann inakuwa ngumu kuyaacha wakiingia sasa kuna raha ganii kutumia kitu ambacho ni cha hatar
Ctaki hata kujua wanacheza vip [emoji23][emoji23]Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia ucheze
Nipo BOB,Nilikuwa Porini nakata mkaa.duuh bob upo? long kitambo sijakuona jf!!
si mchezo,umevuna gunia ngapi za mkaa?Nipo BOB,Nilikuwa Porini nakata mkaa.
Ha ha ha Za Kutosha tu BOB.si mchezo,umevuna gunia ngapi za mkaa?