Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].
 
Ushirikina hapo nakubaliii
 
Hahaha sasa kuna raha gani kumiliki pesa zote na matanuzi yote hayo alafu unaishia kuangalia matako na ngozi zao laini bila kuchakata mbususu zao?🤣🤣
Sa bora nibaki na kipato changu hiki halali na mbususu nachagua nizitakazo😋
 
Tumetofautiana Mkuu labda mwenzetu anapenda misosi na sio mbususu[emoji1787][emoji1787]
 
Nasikia ni mwalimu Mpwayungu Village
 
Hata mzee yusufu enzi zake aliambiwa ushirikina sijui Freemason, mpaka alijibu Kama ya kweli na nyinyi fanyeni ushirikina, daimond alivuma naye ufreemason ushirikina, vingine juhudi tu na kuandikiwa kupewa, sio kila anayezifuma ni mshirikina.
 
Wanaomfahamu wanakwambia psychologically hayuko sawa, unadhani kwasababu gani mkuu? Kutochakata mbususu kunakaribisha wehu maishani[emoji38][emoji38]
Siku zote mganga hukupa masharti ambayo ni magumu. Mwanzo ukiwa huna hela unaweza fikiri kuwa utayamudu lakini ukizipata unatamani kuyavunja hapo ndio unaanza kuukaribisha wehu.
 
We nae wivu tu,
 
Da hawa ma Dr wanamashariti magumu,eti nipate pesa alafu nisichakate mbususu alooo! Na kama ndo ivo wenda yeye ndo anachakatwa qddddk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…