goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ss
Sssas ndio uliwe upate pesa zote hzosiku hizi wengi wanaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sssas ndio uliwe upate pesa zote hzosiku hizi wengi wanaliwa
Angekuwa analiwa angempost pia mlaji 😂siku hizi wengi wanaliwa
Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita Chief Godlove kiukweli jamaa anakula sana bata hapa mjini licha ya umri wangu wa miaka 35 naona dogo kaniacha parefu sana kimaisha
Kabla sijampa maua yake najua humu yupo au kuna jamaa zake wanaomjua nilitaka kujua jamaa anafanya biashara gani mpaka asumbue na magari makali na nyumba nzuri yaani nika kama hush pupp fulani mdogo natamani nijue background yake anipe na mimi hamasa nirudi Njombe na VW new model.
View attachment 2655836
Bongo hakuna wa kuhonga huo utajiri, hata agawe kinyeo kias gansiku hizi wengi wanaliwa
Usiunganishee machoko wotee, ni hao unaowajua wee tyuuh ndo wamechokaaa.Machoko ndowamechoka kuliko makahaba ya kimboka, danganya wengine mm nakaa nao nawajua
Ushirikina hapo nakubaliiiNi mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!! Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!
Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
Kwani haziwezi kuwa ni hela zake za halali??Bongo hakuna wa kuhonga huo utajiri, hata agawe kinyeo koas gan
Huyu km sio ngada, bas utajiri wa ushirikina.
Kwa wahaya utapotea mdogo wangu, Melo mwenye Jf yake ni mhaya, utakula life ban soonMshamba atakuwa wa Mbeya au mhaya
Nshampa last warningNgoja waje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] @ Wahaya
Hahaha sasa kuna raha gani kumiliki pesa zote na matanuzi yote hayo alafu unaishia kuangalia matako na ngozi zao laini bila kuchakata mbususu zao?🤣🤣Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].
swali limeulizwa ,anafanya shughuli ganiKwani haziwezi kuwa ni hela zake za halali??
Tumetofautiana Mkuu labda mwenzetu anapenda misosi na sio mbususu[emoji1787][emoji1787]Hahaha sasa kuna raha gani kumiliki pesa zote na matanuzi yote hayo alafu unaishia kuangalia matako na ngozi zao laini bila kuchakata mbususu zao?[emoji1787][emoji1787]
Sa bora nibaki na kipato changu hiki halali na mbususu nachagua nizitakazo[emoji39]
Wanaomfahamu wanakwambia psychologically hayuko sawa, unadhani kwasababu gani mkuu? Kutochakata mbususu kunakaribisha wehu maishani😆😆Tumetofautiana Mkuu labda mwenzetu anapenda misosi na sio mbususu[emoji1787][emoji1787]
Nasikia ni mwalimu Mpwayungu VillageSalute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita Chief Godlove kiukweli jamaa anakula sana bata hapa mjini licha ya umri wangu wa miaka 35 naona dogo kaniacha parefu sana kimaisha.
Kabla sijampa maua yake najua humu yupo au kuna jamaa zake wanaomjua nilitaka kujua jamaa anafanya biashara gani mpaka asumbue na magari makali na nyumba nzuri yaani nika kama hush pupp fulani mdogo natamani nijue background yake anipe na mimi hamasa nirudi Njombe na VW new model.
View attachment 2655836
Siku zote mganga hukupa masharti ambayo ni magumu. Mwanzo ukiwa huna hela unaweza fikiri kuwa utayamudu lakini ukizipata unatamani kuyavunja hapo ndio unaanza kuukaribisha wehu.Wanaomfahamu wanakwambia psychologically hayuko sawa, unadhani kwasababu gani mkuu? Kutochakata mbususu kunakaribisha wehu maishani[emoji38][emoji38]
We nae wivu tu,Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!! Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!
Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
Da hawa ma Dr wanamashariti magumu,eti nipate pesa alafu nisichakate mbususu alooo! Na kama ndo ivo wenda yeye ndo anachakatwa qddddkNi mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!! Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!
Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!